Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Salaam wakuu.
Hali ya hewa mtaani ni mbaya sana kimazingira. Global warming imechafua uoto wa asili, wanyama porini wanakufa kutokana na ukosefu wa malisho na maji. Hali inatisha. Hatuna uhakika wa kunywa maji kama tulsivyo na uhakika wa kupata milo 3 kwa siku ya kiwango cha kawaida.
Wamaa mtaani hasa vijijini wanaamka usiku kufwata maji umbali mrefu huku wakiwa wamebeba watoto mgongoni. Hatari sana.
Visima vya kuchimbwa kwa mkono huko vijijini ni virefu sana kama mahandaki. Wamama wanazama huko chini kusaka maji, maji yasiyokuwa safi na salama huku wakitumia muda mwingi sana.
Tunywe beer ili kutunza maji, tusinywe maji sana kama tembo. Tunywe maji kidogo lakini beer tunywe sana ili kukata kiu na kuyatunza maji yetu ambayo huko mbeleni ni hali mbaya sana tofauti na tuliko sasa.
Ni hayo tu.
DRINK BEERS TO SAVE WATER
Hali ya hewa mtaani ni mbaya sana kimazingira. Global warming imechafua uoto wa asili, wanyama porini wanakufa kutokana na ukosefu wa malisho na maji. Hali inatisha. Hatuna uhakika wa kunywa maji kama tulsivyo na uhakika wa kupata milo 3 kwa siku ya kiwango cha kawaida.
Wamaa mtaani hasa vijijini wanaamka usiku kufwata maji umbali mrefu huku wakiwa wamebeba watoto mgongoni. Hatari sana.
Visima vya kuchimbwa kwa mkono huko vijijini ni virefu sana kama mahandaki. Wamama wanazama huko chini kusaka maji, maji yasiyokuwa safi na salama huku wakitumia muda mwingi sana.
Tunywe beer ili kutunza maji, tusinywe maji sana kama tembo. Tunywe maji kidogo lakini beer tunywe sana ili kukata kiu na kuyatunza maji yetu ambayo huko mbeleni ni hali mbaya sana tofauti na tuliko sasa.
Ni hayo tu.
DRINK BEERS TO SAVE WATER