Dreadlocks!

8054a9b9c1532e01a3c702b718185d44.jpg


Hizi hapa
Umenificha face yako?
 
nami nimeanza kusokta dreadz now zina kama miez mi 3 hivi..ila shida ni kwamba nikwa narepea yale mafuta ya kusokotea (gel wax) lazma yaniwashe sijajua tatzo ni nini....ila saloonist wangu alinishaul niwe napaka mafuta ya maji ya olive oil badala ya nazi....bt mi naprndelea zaid mafuta ya radiant....
swal langu je zaweza nikapaka hayo mafuta ya radiant kwa ajil ya mba au ntakua naziharibu nywele zangu??...na vip kufanya steaming ni ruksa au???
 
nami nimeanza kusokta dreadz now zina kama miez mi 3 hivi..ila shida ni kwamba nikwa narepea yale mafuta ya kusokotea (gel wax) lazma yaniwashe sijajua tatzo ni nini....ila saloonist wangu alinishaul niwe napaka mafuta ya maji ya olive oil badala ya nazi....bt mi naprndelea zaid mafuta ya radiant....
swal langu je zaweza nikapaka hayo mafuta ya radiant kwa ajil ya mba au ntakua naziharibu nywele zangu??...na vip kufanya steaming ni ruksa au???
Siku hizi kuna aina nyingi za mafuta ya kusokotea ,usitumie WAX nyeupe huwa inawasha kwani kuna original na feki yake.Mimi saloon ninayousokotea hawatumii yale mafuta meupe wana design nyingine.Pia jaribu kubadilisha mafuta ya kupaka ya ngozi wakati anakusokota akupake.Stiming inaruhusiwa tena nzuri ukiweza kufanya na product ya steaming nzuri.Mimi natengenezea hapa Tangi Bovu darajani huwa wanafanya vizuri kwa kweli kama upo Dar!Mimi nina mwaka na miezi nane sasa.
 
Siku hizi kuna aina nyingi za mafuta ya kusokotea ,usitumie WAX nyeupe huwa inawasha kwani kuna original na feki yake.Mimi saloon ninayousokotea hawatumii yale mafuta meupe wana design nyingine.Pia jaribu kubadilisha mafuta ya kupaka ya ngozi wakati anakusokota akupake.Stiming inaruhusiwa tena nzuri ukiweza kufanya na product ya steaming nzuri.Mimi natengenezea hapa Tangi Bovu darajani huwa wanafanya vizuri kwa kweli kama upo Dar!Mimi nina mwaka na miezi nane sasa.
Hongera aisee mi Sasa zinaenda mwaka na nusu..... Akipata pia spray ya no more itchy ya Jamaican mango and lime oil ni nzuri... Mi inanisaidia sana au Ile spray ya Dreadz yenye tea tree oil...
 
msaada Mimi nimeanz Jana dread cna uzoefu wowote ila tatizo nikwamba nimeamka asubuh. kichwa hakitamaniki zile nywel zipo nyeupenyeupe utadhan umepaka sabuni alafu yamepaukapauka. nikashauliwa niende saloon nikaushe, nikakausha ikakauka , Ila sasa ivi tena usiku yamepauka tena. Swali ni kwamba nimwendo wa kupauka hivi?, je coz nawa s was ntashindwa sasa maana ntaendaje kazin asubuh kwa mpauko huu. au hilo litaisha
 
Mimi nilipoanza nilinunua wig kwa muda wa miezi kama.mitatu nikawa navaa wigi na.pia nasukua rasta za kawaida ili zikue na kushika vizuri,hiyo weiipe ni wax ile ya gundi sasa kuna feki na original.Ile feki huwa inasababisha kuleta vitu vyeupe zaidi ingawa na original ipo hivyo ila sio sana.Cha muhimu ni kuakikishaanazidry akimaliza kukusokota naasisokote zikiwa wet au na maji maji sana.Pia chagua saloon nzur yakwenda mimi.mimi
 
Aiseee..kumbe familia ya wenye dreadlocks ni kubwa hivi...hata mie ni mwanachama wa dreadlocks. Ningekuwa nimeifungua hii thread mapema zaidi aaaah...ningeanza matwistin muda mrefu kweli...
 
Back
Top Bottom