Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,482
- 9,242
Maandamano yalioitishwa na mfanyibiashara na mwanasiasa maarufu wa upinzani Martin Fayulu yametawanya na polisi mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Maandamano hayo yalilenga kushinikiza mabadiliko katika tume ya uchaguzi, na kwenye mahakama ya katiba.
Wafuasi kadhaa wa chama cha Fayulu wamekamatwa na wengine kujeruhiwa mjini KInshasa na kwenye miji mingine ya Congo.
Maandamano hayo yalilenga kushinikiza mabadiliko katika tume ya uchaguzi, na kwenye mahakama ya katiba.
Wafuasi kadhaa wa chama cha Fayulu wamekamatwa na wengine kujeruhiwa mjini KInshasa na kwenye miji mingine ya Congo.