MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Habari zaidi hivi punde
MAELEZO ZAIDI WAKUU.
Imetokea Congo ,ni kambi ya umoja wa mataifa ilio na askari wa Tanzania na Malawi imevamiwa na waasi wa ADF,askari mmoja wa Malawi kauawa na raia wanne.
---
Kambi ya Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania na Malawi imeshambuliwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni Waasi wa kikundi cha ADF
Watu wanne wanaoishi katika kijiji hicho wamefariki huku Mwanajeshi mmoja wa Malawi akijeruhiwa. Hakuna Mwanajeshi wa Tanzania aliyejeruhiwa wala kufariki
Kambi hiyo ipo maeneo ya uwanja wa Ndege wa Mavivi mjini Beni ambapo Ndege za Umoja wa Mataifa hutua
Kambi hiyo ilishambuliwa kwa kutumia makombora ya RPG ambapo hema mbili za Askari kutoka Tanzania zilichomwa moto