Chadema ya sasa ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi wanaoitumia chadema km conduit ya kufanikisha mambo yao, hao wengine ni manyumbu fuata upepo tu.Chadema haifanyi mambo yake kwa sababu ya watu fulani tu , hii ni taasisi kubwa mno !
Machadema njaa zao na ubinafsi ndiyo zinawafelisha!!Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,
Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?...
Rais mpya wa Zambia alete ubabe,avunje Mikataba yote, waanze upyaaa!!Lakini wameuza nchi yao kwa Mchina, stupid and fool can .
Naunga mkono hoja
Jamaa aliposema chadema hakuna akili hapo juu ulipaswa kumwelewa, hata hili mnalolishupalia kila mara kwamba chadema ni taasisi kubwa, sijui ina watu sio mtu ni moja ya kukoswa akili kwa kujifariji vitu vya uongo!Chadema haifanyi mambo yake kwa sababu ya watu fulani tu , hii ni taasisi kubwa mno !
Sukuma gang mnawayawaya dadeki hamieni chatoCHADEMA wanafeli kwenye ubongo: hawana akili!
Huwezi kuvunja mikataba iliyoingiwa kihalali Kama alivyofanya MagufuliRais mpya wa Zambia alete ubabe,avunje Mikataba yote, waanze upyaaa!!
Ivi anatweet akitokea nchi Gani huyu?Nawaambia tena achaneni na ngonjera za chanjo ni strategy ya kuondoa mjadala wa KATIBA MPYA na Mkti Mbowe kubambikiwa kesi. Turudi kwenye mambo ya msingi na tusiwe kama maboya.Mkiamka wote Tanzania tweet Freeman Mbowe sio gaidi.#KatibaMpyaMovement #FreemanMboweSiyoGaidi
View attachment 1896295
Kwahiyo kumbe umasikini wa Zambia haukuletwa na Tume ya Uchaguzi wala Katiba ?Zambia waliandika katiba yao mwaka 1964 baadae mwaka 1991 wakati wanapokea vyama vingi waliandika katiba mpya tena ambayo ilikuwa katiba Bora sana kabla ya katiba ya katiba ya kenya...
Rudi nyumbani uje umpambanie M wenyekiti.Nawaambia tena achaneni na ngonjera za chanjo ni strategy ya kuondoa mjadala wa KATIBA MPYA na Mkti Mbowe kubambikiwa kesi. Turudi kwenye mambo ya msingi na tusiwe kama maboya.Mkiamka wote Tanzania tweet Freeman Mbowe sio gaidi.#KatibaMpyaMovement #FreemanMboweSiyoGaidi
View attachment 1896295
CCM ni Kama mkoloni mapambano dhidi yake yanahitaji mbinu na mikakati ya ziada, Walio nje ya Tanzanian wanamchango mkubwa Sana kupaza sauti.Rudi Tz tudai katiba kwa pamoja. Vinginevyo shut up your mouth
😃😃😃😃Ww utakua unahisi hata kivuli chako kinataka kukuvamia...yani waziri mwenye dhamana aache michanjo ya msaada ikae ioze nchi ikose mikopo kisa wa sakata la Mbowe😆😆
Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,
Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?
Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamwfanikiwa kwenye malengo yao.
Zambia wapinzani wameshinda bila katiba mpya,
Machadema mnafeli wapi?