Drake Vs Kendrick Lamar

Well said mumble rappers...

Asap rocky kwenye potato salad anakuambia
"Then i think about the state of rapping,
All the freshmen in the classes,
Mumbling and rapping,mumble rapping??
I find it hard to find actual talent,
I find it hard to find an actual challenge"
Nao huwa maneno ya khanga
 
So kendrick ni nomaa?
Noma ila drake nae ni noma kwa upande wake don't get it twisted
Kwenye upande wa pop culture drake yuko vizur
ila upande wa lyrics Kendrick yuko vizuri
Lakini tena ukimsikiliza drake wa zaman wa 6 am in toronto yule wa worst behavior
Kidogo yule hata lyrically unaweza kumcompare na kendrick...
So for the time being

Drake namkubali ana'inspire black people kuwa nasisi tunaweza ku'succeed kumiliki ma jets kama yeye na kusimamisha mimbo kwenye billboard charts na even tho yeye ni black he has made it and so anaonesha progess ya racism kupungua------- lakini pia

Kendrick namkubal anawakilisha true hip hop na black suffering kwamba although yeye ni star hajasahau true roots na kuwa the problems of discrimination are still persistent...na kuwa kuna watu broke chini ambao hawawezi kuwa juu kwasababu ya system na rangi yao.
 
Noma ila drake nae ni noma kwa upande wake don't get it twisted
Kwenye upande wa pop culture drake yuko vizur
ila upande wa lyrics Kendrick yuko vizuri
Lakini tena ukimsikiliza drake wa zaman wa 6 am in toronto yule wa worst behavior
Kidogo yule hata lyrically unaweza kumcompare na kendrick...
So for the time being

Drake namkubali ana'inspire black people kuwa nasisi tunaweza ku'succeed kumiliki ma jets kama yeye na kusimamisha mimbo kwenye billboard charts na even tho yeye ni black he has made it and so anaonesha progess ya racism kupungua------- lakini pia

Kendrick namkubal anawakilisha true hip hop na black suffering kwamba although yeye ni star hajasahau true roots na kuwa the problems of discrimination are still persistent...na kuwa kuna watu broke chini ambao hawawezi kuwa juu kwasababu ya system na rangi yao.
Mkuu unatisha sana. Lkn Album za Kendrick huwa zinashika sana Machati pale USA
 
Kuna siku nilimsikia wale anasema alkua mtaan akakutana na jamaa mmoja mzungu akamwambia iv na wewe unajiita msanii una usanii gani sasa wasanii nikama wakina j.cole yaan Kuna ka ubaguz flan iv kwa wasanii black
Pia juz kati nilisikia travis nae anasema alisimamishwa na mzungu mmoja iv afu anamwambia yaan wewe ata ukipiga show ndani kwangu siwez kuja kukutazama hata kidogo
Kama ni kweli msanii mbovu kwanini asichanwe live?
Tatzo la wa africa mkiambiwa ukweli mnaona mnanyanyaswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma ila drake nae ni noma kwa upande wake don't get it twisted
Kwenye upande wa pop culture drake yuko vizur
ila upande wa lyrics Kendrick yuko vizuri
Lakini tena ukimsikiliza drake wa zaman wa 6 am in toronto yule wa worst behavior
Kidogo yule hata lyrically unaweza kumcompare na kendrick...
So for the time being

Drake namkubali ana'inspire black people kuwa nasisi tunaweza ku'succeed kumiliki ma jets kama yeye na kusimamisha mimbo kwenye billboard charts na even tho yeye ni black he has made it and so anaonesha progess ya racism kupungua------- lakini pia

Kendrick namkubal anawakilisha true hip hop na black suffering kwamba although yeye ni star hajasahau true roots na kuwa the problems of discrimination are still persistent...na kuwa kuna watu broke chini ambao hawawezi kuwa juu kwasababu ya system na rangi yao.
Mkuu Kendrick mbona haachii kazi .. Nadhani tangu album Yake ya Damn sijui kama ametoa project nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom