Dragon Energy Drink ina madhara yoyote?

DOKEZO

JF-Expert Member
Jan 17, 2014
321
485
Habari wanajukwaa
Jamani nimeona ni vema nikaja kuuliza humu nipate kufahamu.
Siku za karibuni nimekuwa na tabia ambayo ishakuwa sugu ya kunywa hichi kinywaji cha DRAGON kwa zaidi ya tatu kwa siku
asbh nakunywa,
mchana nakunywa,
jioni au wakati wowote ninaposikia usingizi na uchovu kutokana na shughuli zangu ni za kuchelewa sana kulala na kuwahi sana kuamka. So huwa nikinywa DRAGON inanirudisha kwenye momentum ya kufanya kazi na usingizi huondoka kabisa.
Swali:
Kuna madhara ya namna gani ninayoweza kuyapata??
 
Endelea kutumia, maana umejifanya testa mwenyewe, ukishadhurika ndio utuletee mrejesho wa madhara yenyewe.
Ok!!
 
Habari wanajukwaa
Jamani nimeona ni vema nikaja kuuliza humu nipate kufahamu.
Siku za karibuni nimekuwa na tabia ambayo ishakuwa sugu ya kunywa hichi kinywaji cha DRAGON kwa zaidi ya tatu kwa siku
asbh nakunywa,
mchana nakunywa,
jioni au wakati wowote ninaposikia usingizi na uchovu kutokana na shughuli zangu ni za kuchelewa sana kulala na kuwahi sana kuamka. So huwa nikinywa DRAGON inanirudisha kwenye momentum ya kufanya kazi na usingizi huondoka kabisa.
Swali:
Kuna madhara ya namna gani ninayoweza kuyapata??

MUHIMU KWA MUSTAKABALI WA AFYA YAKO
SOMA !!!

AZAM ENERGY.jpg



Azam company ni kampuni inayorisha Watanzania
na nchi nyingi kusini mwa jangwa la Sahara.
Mzee wetu huyu amekuwa msaada mkubwa kwa
Watanzania na nchi jirani zinazotuzunguka kupitia
huduma mbali mbali anazotoa kuanzia usafiri wa
majini, vyakula hata vinywaji. Sitasita kumpongeza
mzee wetu kwa huduma zako na Mungu atakulipa
kwa ili.
Kilichonifanya nikujadili hapa mzee ni hiki kinywaji
chako kipya , Watanzania wamekipokea na
wanakitumia sana kifupi kinauzika huu ndio ukweli
. Na mimi kama miongoni mwa wateja wake
nikajaribu kukionja kutaka kujua kina ladha gani
kinywaji hiki ?? Kinywaji hiki kinaitwa

# ENERGY
# DRINK .Baada ya kufungua na kuonja kwa mara
ya kwanza kilinishinda kurudia fundo la pili nikajua
labda huenda ni gesi ngoja nikiache kwa muda
kidogo, lakini hata baada ya kukirudia tena bado
kilinishinda.

Nikajikuta navutiwa kusoma kimeungwa kwa
kutumia viungio gani(ingredients) hiki nilichokiona
ndicho kilichonifanya niandike haya , malengo sio

kuharibu biashara yako la ni kuwajuza Watanzania
ambao wengi wetu lugha iliyotumika hapa ni
changamoto kuijua , lakini pia wengi wetu huwa
hatuna utamaduni wa kusoma hivi vibandiko kabla
ya kutumia .

NI NINI NILICHOKIONA NA
KIKANISTUA?? HIKI HAPA !!
1.INGREDIENTS(VIUNGIO)

Water sugar, Carbondioxide,Citric acid,(E330),
Taurine, Acidity Regulator Sodiumcitrates
E331,Colour plain , Caramel E150a, ‪#‎CAFFEINE‬ ,
Inositol,Preservative Potassium Sorbate E
202,Flavouring,Niacin,Pantothenic Acid, Vitamin
B6, B12


Baada ya kuandikwa hivi viungia ukiangalia katika
chupa hii kilichofatiwa ni muda wa matumizi na
mahali kinapozalishwa. Lakini bado sikupata
mantiki kwanini kimekuwa kikali mno kwanini!!!!
GHAFRA katika kudadisi zaidi ndipo chini ya
maandishi hayo nikakuta maandishi mengine
mapya tena yamewekwa juu ya

wino#MWEKUNDU# kuashiria TAHADHALI bila
kuandikwa neno lenyewe la TAHADHALI
Maandishi haya yameandikwa katika lugha ya
KINGEREZA yanasomeka hivi:

"High caffeine content(31.5mg/m100)Taurine(0.0
3%).Do not Drink More than 2battles per Day, Not
suitable for persons Sensitive to Caffeine, Children,
Pregnant, Breast feeding women and Avoiding
Drinking before sleeping"


# TAFSIRI YA # MANENO HAYA KWA TUSIOJUA!!
Ina kiasi kikubwa cha CAFFEINE, Usinywe zaidi ya
chupa 2 kwa siku, Haifai kwa watu wenye matatizo
na CAFFEINE, haifai kwa watoto, wajawazito, wana
mama wanaonyonyesha na mwisho Usitumie
muda mfupi kabla ya kwenda kulala kinywaji hiki.
Kwanini usinywe muda mfupi kabla ujakwenda
kulala ?

Kiwango cha 31.5mg/ml100 za caffeine ni nyingi
kwa matumizi ya kawaida hivyo kuna hatari ya
blood pressure kushuka na ukiwa usingizini na

hatimaye ukapoteza maisha hivyo ni hatari
kunywa wakati unakwenda kulala, inaathiri ubongo
pia. kwa watoto na hata watu wazima. kwa
wajawazito, kwa wanaonyonyesha

Sasa Mzee wangu Bakhressa ni watanzania wangapi
wanatumia kinywaji hiki pasipo kujua? kuna
wajawazito watoto, wazee wote wanakibugia tu
hawajui kinachoendelea katika kinywaji hiki mzee.

Hakuna kinywaji ambacho ni CARBONATED
kisichokuwa na CAFFEINE hii inajulikana lakini
mzee HIKI KIWANGOCHA (31.5mg/100m)

ULICHOWEKA HUMU NI KIKUBWA MNO Sina hakika
lakini inawezekana KIKAPITA hata kiwango cha
kwenye HEINKEN . CAFFEINE DRIK Kuna baadhi ya
nchi kama UFARANSA, MAREKANI, HISPANIA,

UINGEREZA WAMEPIGA MARUFUKU Kutokana na
athari zake hasa KATIKA UBONGO.
Hakuna shaka Mzee baada ya muda mfupi wa
matumizi ya kinywaji hiki WATANZANIA WENGI

HASA kina mama na watoto na hata wanaume
watapata matatizo haya , MFUMO WA UBONGO
kuathirika hili halina shaka , VIDONDA vya tumbo,

kwa wana mama wajawazito wanaobugia pia
watazaa watoto wenye matatizo hasa AKILI
kutokana na Ubongo kuathiliwa, wanaonyonyesha
pia, MZEE kama ujumbe huu utakufikia naomba

TUONDOLEE JANGA ILI Maana haya matatizo
tuliyonayo YANATUSHINDA .
Watanzania wengi wataumia SIKU CHACHE ZIJAZO
na hazipo mbali
 
MUHIMU KWA MUSTAKABALI WA AFYA YAKO
SOMA !!!

View attachment 365722


Azam company ni kampuni inayorisha Watanzania
na nchi nyingi kusini mwa jangwa la Sahara.
Mzee wetu huyu amekuwa msaada mkubwa kwa
Watanzania na nchi jirani zinazotuzunguka kupitia
huduma mbali mbali anazotoa kuanzia usafiri wa
majini, vyakula hata vinywaji. Sitasita kumpongeza
mzee wetu kwa huduma zako na Mungu atakulipa
kwa ili.
Kilichonifanya nikujadili hapa mzee ni hiki kinywaji
chako kipya , Watanzania wamekipokea na
wanakitumia sana kifupi kinauzika huu ndio ukweli
. Na mimi kama miongoni mwa wateja wake
nikajaribu kukionja kutaka kujua kina ladha gani
kinywaji hiki ?? Kinywaji hiki kinaitwa

# ENERGY
# DRINK .Baada ya kufungua na kuonja kwa mara
ya kwanza kilinishinda kurudia fundo la pili nikajua
labda huenda ni gesi ngoja nikiache kwa muda
kidogo, lakini hata baada ya kukirudia tena bado
kilinishinda.

Nikajikuta navutiwa kusoma kimeungwa kwa
kutumia viungio gani(ingredients) hiki nilichokiona
ndicho kilichonifanya niandike haya , malengo sio

kuharibu biashara yako la ni kuwajuza Watanzania
ambao wengi wetu lugha iliyotumika hapa ni
changamoto kuijua , lakini pia wengi wetu huwa
hatuna utamaduni wa kusoma hivi vibandiko kabla
ya kutumia .

NI NINI NILICHOKIONA NA
KIKANISTUA?? HIKI HAPA !!
1.INGREDIENTS(VIUNGIO)

Water sugar, Carbondioxide,Citric acid,(E330),
Taurine, Acidity Regulator Sodiumcitrates
E331,Colour plain , Caramel E150a, ‪#‎CAFFEINE‬ ,
Inositol,Preservative Potassium Sorbate E
202,Flavouring,Niacin,Pantothenic Acid, Vitamin
B6, B12


Baada ya kuandikwa hivi viungia ukiangalia katika
chupa hii kilichofatiwa ni muda wa matumizi na
mahali kinapozalishwa. Lakini bado sikupata
mantiki kwanini kimekuwa kikali mno kwanini!!!!
GHAFRA katika kudadisi zaidi ndipo chini ya
maandishi hayo nikakuta maandishi mengine
mapya tena yamewekwa juu ya

wino#MWEKUNDU# kuashiria TAHADHALI bila
kuandikwa neno lenyewe la TAHADHALI
Maandishi haya yameandikwa katika lugha ya
KINGEREZA yanasomeka hivi:

"High caffeine content(31.5mg/m100)Taurine(0.0
3%).Do not Drink More than 2battles per Day, Not
suitable for persons Sensitive to Caffeine, Children,
Pregnant, Breast feeding women and Avoiding
Drinking before sleeping"


# TAFSIRI YA # MANENO HAYA KWA TUSIOJUA!!
Ina kiasi kikubwa cha CAFFEINE, Usinywe zaidi ya
chupa 2 kwa siku, Haifai kwa watu wenye matatizo
na CAFFEINE, haifai kwa watoto, wajawazito, wana
mama wanaonyonyesha na mwisho Usitumie
muda mfupi kabla ya kwenda kulala kinywaji hiki.
Kwanini usinywe muda mfupi kabla ujakwenda
kulala ?

Kiwango cha 31.5mg/ml100 za caffeine ni nyingi
kwa matumizi ya kawaida hivyo kuna hatari ya
blood pressure kushuka na ukiwa usingizini na

hatimaye ukapoteza maisha hivyo ni hatari
kunywa wakati unakwenda kulala, inaathiri ubongo
pia. kwa watoto na hata watu wazima. kwa
wajawazito, kwa wanaonyonyesha

Sasa Mzee wangu Bakhressa ni watanzania wangapi
wanatumia kinywaji hiki pasipo kujua? kuna
wajawazito watoto, wazee wote wanakibugia tu
hawajui kinachoendelea katika kinywaji hiki mzee.

Hakuna kinywaji ambacho ni CARBONATED
kisichokuwa na CAFFEINE hii inajulikana lakini
mzee HIKI KIWANGOCHA (31.5mg/100m)

ULICHOWEKA HUMU NI KIKUBWA MNO Sina hakika
lakini inawezekana KIKAPITA hata kiwango cha
kwenye HEINKEN . CAFFEINE DRIK Kuna baadhi ya
nchi kama UFARANSA, MAREKANI, HISPANIA,

UINGEREZA WAMEPIGA MARUFUKU Kutokana na
athari zake hasa KATIKA UBONGO.
Hakuna shaka Mzee baada ya muda mfupi wa
matumizi ya kinywaji hiki WATANZANIA WENGI

HASA kina mama na watoto na hata wanaume
watapata matatizo haya , MFUMO WA UBONGO
kuathirika hili halina shaka , VIDONDA vya tumbo,

kwa wana mama wajawazito wanaobugia pia
watazaa watoto wenye matatizo hasa AKILI
kutokana na Ubongo kuathiliwa, wanaonyonyesha
pia, MZEE kama ujumbe huu utakufikia naomba

TUONDOLEE JANGA ILI Maana haya matatizo
tuliyonayo YANATUSHINDA .
Watanzania wengi wataumia SIKU CHACHE ZIJAZO
na hazipo mbali
Asante sana mkuu.
 
Tumia energy drink ukiwa unaenda kufanya kazi ngumu na utumie 1 tu kwa siku. Sio kinywaji cha kawaida.
 
Watu kwa kupigana kamba bana,energy drink utengezaji wake mara kwa mara unabase kwenye standard formular,kuna zingine zina high caffeine content ili kuarchive the desired effect,ni sawa na alcohol,
kuna whysik,kuna gin,kuna beer kuna wine na zote ni pombe ,ila zina alcohol content tofauti.

Lengo la kutotahadharisha usinywe energy ukitaka kulala,lengo lake sio kwamba unaweza kufa ukilala,bali maana ni kuwa ,kama unataka ulale halafu ukanywa energy drinks,maana yake ni kuwa hautalala,usingizi hautakuja na utabaki unagalagala tu kitandani mpaka effect ya caffeine iishe.
Ni sawa na kunywa kahawa kabla ulale,huwezi lala
 
Watu kwa kupigana kamba bana,energy drink utengezaji wake mara kwa mara unabase kwenye standard formular,kuna zingine zina high caffeine content ili kuarchive the desired effect,ni sawa na alcohol,
kuna whysik,kuna gin,kuna beer kuna wine na zote ni pombe ,ila zina alcohol content tofauti.

Lengo la kutotahadharisha usinywe energy ukitaka kulala,lengo lake sio kwamba unaweza kufa ukilala,bali maana ni kuwa ,kama unataka ulale halafu ukanywa energy drinks,maana yake ni kuwa hautalala,usingizi hautakuja na utabaki unagalagala tu kitandani mpaka effect ya caffeine iishe.
Ni sawa na kunywa kahawa kabla ulale,huwezi lala
Hapo mwishoni kwenye kahawa umedanganya mkuu.
 
dragon ilishataka kuniua nilikunywa usiku nikaenda kulala ilifika saa saba usiku kuja kushituka jasho linanitoka kwenda hospital nilikuta presha ipi 180/90
 
Back
Top Bottom