Dr. William US na vita ya uchumi dhidi ya UKIMWI Africa

ichumu lya

JF-Expert Member
Aug 11, 2016
2,605
2,729
Kwanini mwanamke wanaweza kuwa HIV bila kuwa na UKIMWI ?

Je, umewahi kusikia mwanamke ana HIV positive ila mwanaume (mpenzi) hana maambukizi ya HIV ?

Au mwanamke alipobeba mimba (ujauzito) alipokwenda kupima clinic alikutwa ana maambukizi ya HIV ila mwanaume yeye hana ?

Basi leo hii nitakufumbua macho na akili yako, ipo hivi kirusi cha HIV huwa kina genetic material ziitwazo DNA na RNA kirusi hutumia hizi genetic material kujizalisha kinapo kuwa kwenye mwili wa kiumbe hai, kwa wastani kirusi cha HIV ni kiumbe kidogo sana hasa pale kiwapo nje ya mwili wa binadamu kwa mfano Kirusi chochote hakiwezi kudumu kwenye hewa binadamu anayoivuta ya Oxygen.

Kirusi cha HIV kina lindwa na gamba la protein kitaalamu huitwa p24, hadi leo sayansi haijabadili kabisa utafiti wowote kwenye vipimo vya HIV kinachopimwa ni reaction ya antibodies za p24 toka mwaka 1967 hadi leo hakuna mabadiliko yoyote yaliofanywa na sayansi ili kuzingatia mabadiliko ya utandawazi kuja na more research ya p24 as the HIV antigen.

Wenda hujanielewa ipo hivi HIV hupimwa kwa kupima antibodies za mwili kama zimezalisha antigens za p24 ambapo sayansi wapo kwenye njia kuu wakiamini hizi p24 ndio regiments za HIV hadi leo toka mwaka 1967 hakuna utafiti wa ndani zaidi wa kuchunguza Je ni kweli hizi p24 antigen ndizo HIV na ipo sheria kabisa inayozuia mtu yeyote kufanya utafiti wa hizi antigens za HIV na ipo sheria ya ambayo hairuhusu mtu kuingilia utafiti na mwaka huu yupo dakitari amefungiwa miezi 52 kwa kufanya utafiti huo bila kibali kutoka juu.

Sasa tuachane na hayo hebu njoo kwenye swali inaweza vipi mwanamke mjamzito akapata HIV ?
Ipo hivi kwenye shahawa za mwanaume kuna genetic materials za DNA na RNA kama utakumbuka kirusi nacho huwa na DNA na RNA.

Ikitokea mwanaume anasex na mwanamke kisha akamwaga zile shahawa zake shahawa hizi husafiri hadi kuingia kwenywe mwili na ikumbukwe kuwa mwanamke ana antibodies ili kupambana na vimelea , hasa pale hizi antibodies zinapo zikataa DNA na huwa kuna mapambano yanayochukua zaidi ya miezi 3 DNA za shahawa za mwanaume kujitaidi kuvamia yai la mwanamke ili kutunga tu mimba, zimefikia tafiti zingine zimeonesha pale DNA za mwanaume zinaposhindwa hiyo mimba itakayotungwa upo uwezekano wa kuharibika kwa mimba hiyo.

Wapo wanawake wengine mili ya antibodies zao huwa hazifanye reactions yoyote na DNA za shahawa za mwanaume na hivyo mwanamke hubaki kuwa salama na hujifungua akiwa salama kabisa.

Ndio kuna wanawake wanapo ingiliwa na hizi DNA za shahawa za mwanaume mili yao huzalisha antibodies za kushambulia na mwisho wa siku hutegeneza copy ya antigens ambayo ni ya DNA au RNA kwenye damu na wanapo kwenda kupima clinic hukutwa wapo HIV positive.

Somo ni pana sana na linachosha kusoma ila leo nakomea hapa ila kama unaswali niandikie kwenye comments nitakutana nitakujibu Bure ila Liwe kuhusu hii mada.


Nikweli?
Mwisho (part-3)

Ipo hivi tusiaminishwe kwamba virusi vya VVU ndio vinaweza kumfanya mtu kuwa na UKIMWI No tena BIG NO, Kuna kundi la microbiology la Bacteria kundi hili ni Kama limesaulika na kuonekana halipo kwenye nafsi ya kusababisha upungufu wa kinga (ulinzi) wa mwili.

Tumefikia hatua tunashindwa kutambua kama Bacteria wa Tuberculosis (TB) akikupata anaweza kudhofisha mwili na kushusha zile T-cells na mtu akawa na upungufu mkubwa wa kinga ila kinachofanya Bacteria asiogopewe ni kwa sababu zipo dawa za chemikali ambazo zimeundwa kumshambulia bacteria huyo ndani ya mwili wa binadamu.

Unapokuja kwenye virusi ndio kundi la mwisho baada ya bacteria utakuta kundi hili la virusi hadi leo sayansi inajua virusi 5,000 ila zaidi ya virusi 1,000,000 bado havijafahamika.Na kitu tusichokielewa ni kuwa virusi Kama virusi vinakuwa vigumu kuvipatia tiba kutokana kuwa vina DNA na RNA hivyo vinapokuwa kwenye mmea au mwanadamu huwa na tabia za kujifanya kama Cell zingine kwenye mwili, na sifa nyingine ya kirusi huwa na tabia ya kubadili code za mwili wa binadamu na kuanza kuzaliana kwa wingi zaidi.

Ikumbukwe kuwa mwili wa binadamu toka anazaliwa ndani yake amekuwa na microbacteria na virusi ndani yake kwa wastani binadamu anakadiliwa kuwa na virusi 5,000,000 ukijunlisha na bacteria jumla inakuwa 36,000,000 ambapo sio kila kirusi ni mbaya au sio kila bacteria walio kwenye mwili wa binadamu ni wabaya bali ni mhimu sana kwa afya ya binadamu mfano wapo bacteria wanaohusika na digestive system ya mwili, kulinda mwili ila unapokuja kwenye virusi wapo virusi wanatunza rekodi yani code za DNA bila hawa virusi leo vizazi visingekuwepo hata kidogo.

Napata ukakasi kidogo kusema virusi vya UKIMWI maana virusi sifa yake kubwa sio kusababisha upungufu wa kinga moja kwa moja ila ni kuvuruga code unaposema kuvuruga code maana yake ni hiki kirusi kinapoingia kwenye mwili kinachofanya ni kuvamia T-cells bila ya zenyewe kujua na kutengeneza copy yake na hivyo kufanya T-cell kushindwa kuzitambua au kupambana navyo virusi maana huwa vinajigeuza na kuonekana Kama cell za kawaida hapa ndipo zile T-cells hujikuta zinavuruga mfumo wa uwendeshaji wa T-cells hii ndio tunaita kuvuruga code ya mwili hivyo virusi havimfanyi mtu kuwa na UKIMWI direct bali code za mwili zinapobadilika T-cells hushindwa vyema kupambana na vimelea wengine Kama vile bacteria n.k just kutona na kuvurugwa code za upambanaji wa kinga za mwili hapa ndio huwa rahisi malaria, homa na magonjwa mengine kuvamia mwili kwa urahisi kutokana na T-cell kutokuwa na code nzuri ya kupambana na vimelea hao na kuvurugwa kwa Kodi kunaweza pelekea uzalishaji wa T-cells kupungua pia.

Hitimisho la somo

Kwanza lazima utambue kuanzia mwanzo hadi mwisho umetambua kuwa Kuna watu wanaweza kuwa HIV status kupitia mfumo wa mwili kuzalisha code na copy za antigens za protein ngeni kutokana na kubeba mimba, kureact na shahawa za mwanaume, kutumia dawa zenye toxic n.k.

Pia tumeona kuwa Kuna virusi wanaotoka nje ya mwili (hawa ni halisia) wanaingia kwenye mwili na kuvuruga mfumo wa code za T-cells ila sio direct wanahusisha kupunguza kinga ila inategemea na mazingira ya antibodies za mtu zilivyo.

Mfano kuna makundi ya damu ya watu hasa Group O huwa na kinga imara sana ndio inayochangia wengi wao kutokuwa na reative na virusi ila sio kuwa hawapati virusi ila mili yao inauwezo wa kikitambua kirusi kwa haraka na zingine kuzifunika.


Mara nyingi mili yetu bado inauwezo mkubwa sana wa kuulinda mwili na virusi Kati ya miezi 3 hadi 6 mwili huwa unachukua taadhali kubwa katika kuviondoa mwilini , na mwili Kama mwili huwezi kufanya hayo pasipo kuwa na support ya mwanadamu hasa kwa kuzingatia haya :

1)Kuepuka vilevi
2)Matumizi ya sukari
3)Epuka Vyakula vya kiwandani
4)Kula mlo wenye wingi wa protein na Alikaline
5)Kunywa maji safi na salama
6)Kubadili mtindo wa maisha e.g Mazoezi, meditation
7)Kuepuka dawa za chemikali
8)Kupunguza mawazo ya akili na mwili.
9)Kutumia vyakula vyenye wingi wa Antioxidants

Maneno yangu lazima uweze kuyapambanua kuwa virusi ni moja ya biashara Kama biashara zingine virusi vinategenezwa na makapuni mengi wakilenga kujiingizia pesa nyingi zaidi hata kirusi cha HIV vinategenezwa na zaidi ya makapuni 167 hivyo zipo njama nyingi sana mashirika ya madawa kutumia virusi hivi kwa lengo la kujiingizia pesa nyingi mfano pesa zote za Arv ambazo watanzania wanapewa ni Kodi za kila mtanzania huchangia madawa hayo, na wao ndio huzidi kuongeza na kujipambanua kwa uwezo wa kuongeza idadi ya wateja (watumiaji wa Arv) kwa kuaminisha jamii maambukizi yamepungua yote hii ni biashara pia unaweza kuchukua maneno yangu au ukayapima kwenye mzani maana HIV kwa Afrika ndio bidha kubwa maana bado tupo gizani kwenye shimo kwa wazungu ambapo UKIMWI ndipo ulipo anzia wao wanajali kizazi chao na kuaminisha maambuzi hayapo kwao maana wao ndio founder hii inaitwa top secret.


Wataalamu mkuje msaidie mkatae Au mkubali kwa hoja.
Hebu toka gizani kidogo !

Wengi wanaamini kuwa kufanya sex ndio chanzo cha kuwa na UKIMWI, huo ni upuuzi mtupu huwezi kupata UKIMWI kwa kufanya sex hiyo haipo hivyo na UKIMWI ni stage ya 3 ya mtu kuishiwa na kinga za mwili.

Na ipo hivi kupata UKIMWI ni zao la kushambuliwa na makundi ya
-Msongo wa mawazo
-Virusi
-Bacteria
-Chemicals
-Lishe duni
-Magonjwa
-Vimelea n.k vyanzo hivi ndio vinavyounda neno UKIMWI na katika hivyo hakuna zao la kwamba ukifanya sex utapata UKIMWI.

Ila kuna kitu tunacho jichanganya sana kwamba kufanya ngono na pakatokea michubuano upo uwezekano wa mtu kupata UKIMWI hii pia haipo sahihi huwezi kupata UKIMWI kwa kujichubua wakati wa sex ila unachoweza kukipata ni kubadilishana kwa vimelea, bacteria ,virusi n.k wakati wa kufanya sex ila sio UKIMWI.

Labda tuseme kwamba upo uwezekano mkubwa wa kupata vimelea, Virusi au bacteria wakati tunafanya sex ila sio UKIMWI tena unaposema kupata Virusi lazima watu waelewe kuwa kirusi hakiwezi kuzaliana nje ya mchubuko wa nje ya nyama ila tu kama kitapenyeza hadi kwenye blood stream (mishipa ya damu) hapa ndipo kirusi kinaweza kupata nafasi ya kuingia kwenye mwili.

Ila wengi wanaweza kufanya sex tena ya bila kuchubuana hata kidogo ila bado wanakuta mmoja wao (hasa mwanamke) ana Virusi (HIV) swali vimetoka wapi licha mliva kondomu na wala hamkujichubua ? Jibu ni kuwa mwanamke anaweza kupata virusi sio kwa njia ya kuchubuliwa tu wakati wa sex pekee yake bali hata kwa kuzipokea shahawa(Mani) za kiume kwenye mwili wake zinaweza kugeuka na kuwa virusi mwilini mwa-baadhi ya wanawake narudi ni kwa baadhi ya mili ya wanawake wanapoingiziwa mani(shahawa) zinaweza kugeuka na kuwa virusi kama virusi vingine.

Hiyo inatokea hivi kirusi chochote huwa kina DNA na RNA hizi ni genetics materials ambazo husaidia kirusi kinapoingia kwenye damu kiweze kuzaliana na kuongezeka, kutunza code n.k ndio maana wanawake wanatakiwa kujua wao ndio wapo kwenye hatari zaidi ya kupata maambukizi ya virusi (visivyo ambukiza/vinavyo ambukiza) kwa njia ya kupokea Mani ya mwanaume.

Mani (shahawa) za mwanaume huwa zina properties zote kama kirusi kilivyo mani zina more additional properties zaidi Mfano ndani ya Mani kuna :
-Protein
-DNA
-RNA
-Acidic
-Antibodies shahawa zinapo zama kwenye mwili wa mwanamke zikiingia tu mwilini mwanamke mwili wake huzalisha copy za code za kinga ili kuvishambulia mani (shahawa za mwanaume ) zikidhani ni kirusi maana zitakuwa zimehisi uwepo wa DNA na RNA kwenye shahawa (mani) hivyo kazi ya kinga ya mwanamke kwa haraka sana huanza mapambano na shahawa za mwanaume kutoka kwenye 1,000,000 ya shahawa hadi hubakia shahawa moja au zote zinakufa kutokana na mapambano hayo na wakati kinga za mwanamke zikipambana na kinga za Mani (shahawa) utakuta mwanamke ana kuwa
-Akiishiwa nguvu Mara kwa Mara.
-Kupata kichefu chefu.
-Homa
-Usingizi
-Kikohozi
-Kuvimba
-kutapika
-Kuishiwa damu
-kizunguzungu n.k baada ya mapambano ya mdaa mrefu kati ya shahawa na kinga za mwanamke kimoja wapo huwa kinakuwa mshindi mfano ikitokea kinga za mwanamke zikashinda vita hiyo upo uwezekano wa asilimia 100% mimba kuharibika au kutoka, na kama ikitokea shahawa za mwanaume zikashinda mwanamke hushika mimba.

Ila hata baada ya kushika mimba au mimba kutoka kama mwili wa mwanamke utashindwa kuweka kumbukumbu sahihi kinga za mwili zitaunda copy ya antigens na hiyo antigens ukienda kuipima kwenye kipimo cha SD upo uwezekano mkubwa wa mwanamke kuwa HIV positive ila mwanaume asiwe na HIV kabisa, na wanawake kwenye hali hii wanaweza sex na mwanaume bila kumwambukiza kabisa hii inatokea maana zile copy zinakuwa ni kama za malaria au typhoid ,UTI n.k.

Naandika haya kwa utafiti makini sana , na na kwa kurudia tena ili kila mtu anielewe kama hutaelewa hapa hutaweza kuelewe tena-najua uwogo ni mkubwa kwenye pesa ila ukweli ni mdogo kwenye kifira tupu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1571426249620.jpeg
    FB_IMG_1571426249620.jpeg
    33.7 KB · Views: 6
Mkuu hebu tupe elimu hii adhimu mana Afrika tumedanganywa sana na fikra zimesha beba wazo flani ndani ya miaka zaidi ya 30 sasa kubadilisha fikra kwakweli ni jambo gumu hata Mimi huwa najiuliza kwa nini ukimwi unatisha zaidi afrika hasa maeneo yA kusini mwa afrika ilihali kuna mataifa kibao yana hali mbaya hata mabara mengine na hakuna uoga wa hii ukimwi ?
 
Mkuu hebu tupe elimu hii adhimu mana Afrika tumedanganywa sana na fikra zimesha beba wazo flani ndani ya miaka zaidi ya 30 sasa kubadilisha fikra kwakweli ni jambo gumu hata Mimi huwa najiuliza kwa nini ukimwi unatisha zaidi afrika hasa maeneo yA kusini mwa afrika ilihali kuna mataifa kibao yana hali mbaya hata mabara mengine na hakuna uoga wa hii ukimwi ?
Mimi nimecopy na kupast uyu Bwana ana ukulasa wake anatoa ushauri na mambo mengi ya kitabibu nakushauri tembelea page yake naweka link apa chini.
 
Dr williums umetoka Fb umeamua kuja na huku whatsap? Mtaalam wa Virology, Public health,Tiba za asili, Mshauri....i just cant get enough of you.
 
Dr williums umetoka Fb umeamua kuja na huku whatsap? Mtaalam wa Virology, Public health,Tiba za asili, Mshauri....i just cant get enough of you.
Mimi sio Dr Williams ila nimekuwa nafatilia sana lakini kasaidia watu wengi sana juu ya Elimu ya UKIMWI, ARV na VVU. kiukweli uyu Dr anauwezo mkubwa wa kujenga hoja lakini pia ni researcher mzuri anatoa hoja kwa facts
 
Mkuu hebu tupe elimu hii adhimu mana Afrika tumedanganywa sana na fikra zimesha beba wazo flani ndani ya miaka zaidi ya 30 sasa kubadilisha fikra kwakweli ni jambo gumu hata Mimi huwa najiuliza kwa nini ukimwi unatisha zaidi afrika hasa maeneo yA kusini mwa afrika ilihali kuna mataifa kibao yana hali mbaya hata mabara mengine na hakuna uoga wa hii ukimwi ?
 
Ebu sikumoja jipe hofu na mawazo kua una UKIMWI yani ujichanganye kabisa akiliyakoyote moyowako wote ujilaumu kua umepata UKIMWI alafu uone ,,yaani utakua nadalilizote za UKIMWI hatakama huna Ila ule uoga msongo wamawazo ndohupunguza kinga ya mwili ndipo magonjwamengine yanaingia
 
Ebu sikumoja jipe hofu na mawazo kua una UKIMWI yani ujichanganye kabisa akiliyakoyote moyowako wote ujilaumu kua umepata UKIMWI alafu uone ,,yaani utakua nadalilizote za UKIMWI hatakama huna Ila ule uoga msongo wamawazo ndohupunguza kinga ya mwili ndipo magonjwamengine yanaingia
Exactly
 
Amina, ila mjadala ni mpana nadhani niwakati mzuri wa kujua UKIMWI nini? Lakini pia lazima ujioji mala kadhaa watawala wa Africa watajibu nini mbele za Mungu! Kuna mengi yasiyojadiliwa lakini ndio ya msingi kwetu.
Mungu akubaliki mkuu
 
Ebu sikumoja jipe hofu na mawazo kua una UKIMWI yani ujichanganye kabisa akiliyakoyote moyowako wote ujilaumu kua umepata UKIMWI alafu uone ,,yaani utakua nadalilizote za UKIMWI hatakama huna Ila ule uoga msongo wamawazo ndohupunguza kinga ya mwili ndipo magonjwamengine yanaingia
Hii kitu ishawahi nitokea aiseee kisa tu niliambiwa kuwa yule demu ana ngoma
basi nilipata mawazo yakutosha na nikapungua mpk nilipoenda kucheki afya
 
Back
Top Bottom