OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,690
- Thread starter
- #161
ukiona FF anaandika madudu ujue kashikwa utamu,kama ni demu basi anapigwa katereroNnawaswas na uanamme wako.
ukiona FF anaandika madudu ujue kashikwa utamu,kama ni demu basi anapigwa katereroNnawaswas na uanamme wako.
Dr Slaa ataongoza Kondoo wa bwana wa Tanzania baada ya uchaguzi October 2015 kutokea pale IKULU
Naona hoja imekuingia sasa umeanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Nnawaswas na uanamme wako.
Kibaya zaidi anakula kondoo anaotakiwa kuwachunga.
dubwana huna jipya,tumekuzoea tunakuona kama mzuraraji wa JFMumshawishi kugombea urais Dr.Slaa? Hebu acheni masihala mumshawishi wakati Dr.Slaa ndiyo mgombea urais wa kudumu wa Chadema nani mwingine ambaye kajitokeza kugombea? Hamna yeyote atakaye jaribu kugombea urais Chadema kama ajafukuzwa kama paka.
Mleta mada,
Huna haja ya kuweka historia ya Dr Slaa upya humu JF. Sijui weweni mgeni ama vipi, lakini tayari historia ya Dr Slaa ipo humu kabla ya kushindwa kwake uchaguzi wa mwaka 2010.
Haya yote unayofanya hapa ni marudio tu. Na Membe leo amewachana LIVE kuwa hao wafalme wenu ndio wanafanya CCM ushinde kwa kishindo katika kila uchaguzi. Naona na wewe kwa akili zako ndogo unarudia yale yale.
Invisible...tafadhali unganisheni uzi huu na ile uzi ya kipindi kile ya Dr Slaa.
dubwana huna jipya,tumekuzoea tunakuona kama mzuraraji wa JF
Mmenizozea wewe na nani na mume wako?dubwana huna jipya,tumekuzoea tunakuona kama mzuraraji wa JF
umeandika kwa umakini mkubwa mno ! bila shaka wewe ni msomi .Dr Slaa alisema Elimu bure kuanzia s/ msingi hadi kidato cha sita,ccm wamekuja na Elimu bure wakiiga na kuchomeka eti elimu iwe ya lazima hadi kidato cha nne huku wakidai ifundishwe kwa lugha ya kiseahili
Kinana aliposema kutoa Elimu bure haiwezekani alifikiria kodi na raslimali tulizonazo au
akili ndogo kutawala akili kubwa?
Dr.slaa is the image of our Firm
Razima = LazimaOle wao maccm dr slaa awe raisi,razima slaa atafunga ndoa na kuwat..om..ba maccm yote yakiongozwa na dhaifu,el,chenge na vibaka wote mpaka mjifungue
Mkuu utakuwa na tofauti gani na Nkurunzinza?Wasipomteua Dr Slaa sipigi kura
Razima = LazimaNasikia rizone amekamatwa china anauza unga na meno ya tembo!ole wenu maccm Dr slaa aingie magogoni mtatembea uchi na ujambazi wenu razima lowasa,chenge,rostam na dhaifu wanyongwe adharani
Mumshawishi kugombea urais Dr.Slaa? Hebu acheni masihala mumshawishi wakati Dr.Slaa ndiyo mgombea urais wa kudumu wa Chadema nani mwingine ambaye kajitokeza kugombea? Hamna yeyote atakaye jaribu kugombea urais Chadema kama ajafukuzwa kama paka.