Dr.W.Slaa asipopitishwa na (CHADEMA) KURA YANGU WAMEIKOSA

Nahidi watu wengine wametumwa ili kukigawa CHADEMA, KUWENI MAKINI SANA.
 
Hayo ni baadhi ya maneno na kauli za wananchi wa maeneo mbalimbali nchini. Ikiwemo Dar,Mwanza,Tabora.Kigoma,shinyanga,singida,manyara,Arusha,Kilimanjaro,Tanga.mbeya,Iringa,Dodoma,Sumbawanga,Morogoro,Mtwara,nk. Katika mikoa hiyo watu saba kati ya kumi wanadai katibu mkuu wa chadema taifa asipopitishwa na chama chake 2015 katika uchaguzi mkuu.basi kura zao watatoa kwa chama kingine. Kwa kile wanachokiita uadilifu wa kiongozi huyo na msimamo(standpoint) wa kiongozi huyo wa chama cha demokrasia na maendeleo ambaye amekuwa akifanya kazi ya ziada katika maeneo mengi nchini. Kwa elimu ya uraia pamoja na serikali kwa ujumla kitu ambacho ni nadra sana kwa kiongozi mwingine ndani ya cdm. Wakizungumza na wawakilishi wa shirika la utafiti wa wa save the childrens tanzania bwana haroun mafuru mkoani lindi wiki ,alisema Ni vizuri kwa wananchi na jamii kwa ujumla kuamua ni nani wanataka kumtuma akawatetee katika taifa lao. Na vile vile si dhambi kuonyesha ni nani wanayempendeza awe rais wao ifikapo 2015!

nape jiandae kunipokea na mimi kwani siwezi kumpigia kura mnafiki Zitto.
 
Mimi ni miongoni mwa hao kama Dr.slaa hatapitishwa nitapigia kula ccm hata kama wamsimamishe Lusinde au Nape huo ndo ukweli wangu toka Moyoni mwangu c mbowe wala Zzk ambaye anaweza akaufikia uadilifu wa Dr.slaa na misimamo yake! Dr.slaa ndiye atakaye tusaidia kuipata
Tanzania tunayoitaka.
We ni muongo kwa maelezo yako tu unaonyesha hata akisimama slaa hutompa! Kwanini useme haraka tu uko radhi kumpa kura yako hata lusinde na nape kwani wao umeupima wapi uzalendo wao? Nyie ndo uvccm mnaoleta mijadala ya namna hii kuwagawa wana cdm
 
ili kuiuwa chadema 2015..chadema wamweke Mbowe au Zitto...chaguo la watanzania ni SLAA...bora ya LOWASSA kulko wakna mbowe
 
hao kama wamesema hivo hawana maana, mwanachama na mpenzi wa chadema na mageuzi nchini anatakiwa akubali maamuzi ya kidemokrasia ya chama! kama kwenye kura za kupata mpeperusha bendera ya chadema akapatikana mtu mwingine ambaye sio Slaa hawaheshimu maamuzi hayo??mwisho wa siku inatakiwa chama kwanza mtu baadae!!

Hapana kabisa, Nchi kwanza na chama baadae. Mimi nafikiri ni wakati wa kukomaa kisiasa na kutofanya majaribio tena kwani yametugharimu sana. Ninatambua siasa za chadema kuwa ni tofauti na za CCM. Hao wanaoleta siasa za CCM Chadema, sisi tunaojali nchi kwanza tutawakataa. Maana CCM kwa sasa hawalali wanasaka urais na kujitangaza kuwa wanataka urais. Huu utamatuni wa CCM unaletwa Chadema na watu wenye uchu na madaraka kama wale wa CCM. Sisi wananchi wa kawaida kabisa tunashindwa tofautisha hao wanaojitangaza chadema na wale mafisadi wa CCM. Tunasikia "MIMI SIGOMBEI UBUNGE TENA NITAPEPERUSHA BENDERA KWA KUPITIA CHAMA FULANI". Haina maana, tumikia wananchi wako si muda muafaka wa kutuonesha kua unauchu wa madaraka kiasi hicho. Urais Chadema tunajua kua si wa kugombea kama CCM, sisi wananchi wa kawaida tunachojua Chadema wanamuomba mtu agombee uraisi baada ya kujua kua anahitajiwa na wananchi na hii ndo peoples power. Wanojitangaza kua wanataka urais kupitia Chadema kwa sasa tunawaona Ni magamba tu hata kama wameanza kukutumikia Chadema toka wakiwa na miaka miwili haijalishi. Chadema ni chama mbadala na ni lazima kiwe na utafauti na CCM. Kama kinafanana na CCM hakuna haja ya kukibadili CCM.
 
Hii hoja hapa si mahali pake, utafiti wako ingekuwa bora unge-present katika vikao vya uteuzi vya chama chako wakati utakapofika, kama unakipenda chama chako tafadhali tangaza sera kwa sasa!


Lakini as JF is an open field for all people to access tna wale wanaofanya maamuzi ndani ya CDM ni vema utafiti huu ukawekwa humu. Humu ni mahali pake sahihi labda kama kuna mtu analo lake jambo. Nafikiri mtafiti alitumia hypothesis ambazo zimejibiwa kadiri alivyotaka na zna reflect what the population out there say. Asante kwa utafiti mzuri lakini naomba tusibweteke na utafiti huo. Tunahitaji kuwapa encouragements the Dr. Slaas whereever they are so as to jointly work and bring this country back to its feet and glorious past
 
natamanii kama cdm kingekuw na utaratibu wa wale wote wnaotaka kugombea urais waende wot kwa pamoja kila jimbo ili kupigiwa kura na wananchi(wanachama) yule atakayeshinda ndiye awe mgombea wa chama. naam, hili ni jema na la kupendeza sana kwa kumpata mgombea makini na atakayependwa na watanzania.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
mimi ni among wale undecided voters sijajua nitampigia kura nani..nataka nisubiri wagombea wa ccm na cdm watakua ni nani then ntajua hapo...chadema ngoma iko kwao..wao ndio wana uwezo wa kuitoa madarakani ccm au kuibakiza pale hasa itategemea na nani watamweka kama mgombea wao...wakimweka mtu magumashi tu ccm inashinda tena kwa kishindo na cdm hapo itakua kama nccr mageuzi na cuf..they will never recover...[/kamwe cdm haiwez kuwa kama makabwela cuf
 
Hapana kabisa, Nchi kwanza na chama baadae. Mimi nafikiri ni wakati wa kukomaa kisiasa na kutofanya majaribio tena kwani yametugharimu sana. Ninatambua siasa za chadema kuwa ni tofauti na za CCM. Hao wanaoleta siasa za CCM Chadema, sisi tunaojali nchi kwanza tutawakataa. Maana CCM kwa sasa hawalali wanasaka urais na kujitangaza kuwa wanataka urais. Huu utamatuni wa CCM unaletwa Chadema na watu wenye uchu na madaraka kama wale wa CCM. Sisi wananchi wa kawaida kabisa tunashindwa tofautisha hao wanaojitangaza chadema na wale mafisadi wa CCM. Tunasikia "MIMI SIGOMBEI UBUNGE TENA NITAPEPERUSHA BENDERA KWA KUPITIA CHAMA FULANI". Haina maana, tumikia wananchi wako si muda muafaka wa kutuonesha kua unauchu wa madaraka kiasi hicho. Urais Chadema tunajua kua si wa kugombea kama CCM, sisi wananchi wa kawaida tunachojua Chadema wanamuomba mtu agombee uraisi baada ya kujua kua anahitajiwa na wananchi na hii ndo peoples power. Wanojitangaza kua wanataka urais kupitia Chadema kwa sasa tunawaona Ni magamba tu hata kama wameanza kukutumikia Chadema toka wakiwa na miaka miwili haijalishi. Chadema ni chama mbadala na ni lazima kiwe na utafauti na CCM. Kama kinafanana na CCM hakuna haja ya kukibadili CCM.
wewe sasa ndio undandia treni kwa mbele maana hapa tulikuwa tunajadili swala la chadema na uteuzi wa mgombea wapo wanaosema bila slaa watapigia chama kingine kura ndio maana nikasema chama kwanza mtu baadae ila yanapokuja maswala ya kitaifa huwa inatakiwa utaifa kwanza chama baadae so kabla ya kurukia kuchangia ujue mtu anachangia hoja kutoka kwenye context ipi??
 
Lengo lao linatimia sasa.....kwa kuwatoa tu kwenye M4C programs kwa kuwashughulisha na mgombea urahisi cdm 2015 wakimtumia huyo anaeitwa zito.
 
Tuombe asiwe ameharibu chochote.........kwa kweli hata mimi Bila Dr. Slaa itakuwa ngumu itabidi nishawishiwe kwa kiasi kisicho cha kawaida
 
Kwani chama ni nini? Chama siyo physical object bali sura ya chama hutambulika kwa mwonekano wa viongozi wake yaani misimamo yao na kile wanachoamini, malengo yao, miongozi na zaidi jinsi wanavyoishi kile wanchokitamka.

Wapiga kura wengi walio makini humchagua mtu na wala siyo chama, hiyo ni kwa mataifa yote. Hata chaguzi za mataifa yaliyoendelea kama Marekani, leo hii wanavyoendesha tafiti zao, wanalinganisha wagombea wanavyoungwa mkono, wala siyo vyama vyao jinsi vinavyoungwa mkono.

Si kitu cha ajabu kusikia na kutokea kuwa watu ambao watawachagua wagombea wa CHADEMA, wengi wao watafanya hivyo kwa kuangalia ni nani aliyesimamishwa. Hata mimi nitafanya hivyo maana sera za chama au manifesto havina maana yeyote kama huna imani na msimamizi mkuu, ambaye ni Rais. Kama CHADEMA wasipomsimamisha ambaye dhamira yangu inaamini ana uwezo wa kusimamia mabadiliko, sitamchagua mgombea wa CHADEMA lakini pia sitamchagua mgombea wa CCM.[

QUOTE=OSOKONI;4800690]hao kama wamesema hivo hawana maana, mwanachama na mpenzi wa chadema na mageuzi nchini anatakiwa akubali maamuzi ya kidemokrasia ya chama! kama kwenye kura za kupata mpeperusha bendera ya chadema akapatikana mtu mwingine ambaye sio Slaa hawaheshimu maamuzi hayo??mwisho wa siku inatakiwa chama kwanza mtu baadae!![/QUOTE]
 
Bila shaka Wewe ni ZZK


hao kama wamesema hivo hawana maana, mwanachama na mpenzi wa chadema na mageuzi nchini anatakiwa akubali maamuzi ya kidemokrasia ya chama! kama kwenye kura za kupata mpeperusha bendera ya chadema akapatikana mtu mwingine ambaye sio Slaa hawaheshimu maamuzi hayo??mwisho wa siku inatakiwa chama kwanza mtu baadae!!
 
Hayo ni baadhi ya maneno na kauli za wananchi wa maeneo mbalimbali nchini. Ikiwemo Dar,Mwanza,Tabora.Kigoma,shinyanga,singida,manyara,Arusha,Kilimanjaro,Tanga.mbeya,Iringa,Dodoma,Sumbawanga,Morogoro,Mtwara,nk. Katika mikoa hiyo watu saba kati ya kumi wanadai katibu mkuu wa chadema taifa asipopitishwa na chama chake 2015 katika uchaguzi mkuu.basi kura zao watatoa kwa chama kingine. Kwa kile wanachokiita uadilifu wa kiongozi huyo na msimamo(standpoint) wa kiongozi huyo wa chama cha demokrasia na maendeleo ambaye amekuwa akifanya kazi ya ziada katika maeneo mengi nchini. Kwa elimu ya uraia pamoja na serikali kwa ujumla kitu ambacho ni nadra sana kwa kiongozi mwingine ndani ya cdm. Wakizungumza na wawakilishi wa shirika la utafiti wa wa save the childrens tanzania bwana haroun mafuru mkoani lindi wiki ,alisema Ni vizuri kwa wananchi na jamii kwa ujumla kuamua ni nani wanataka kumtuma akawatetee katika taifa lao. Na vile vile si dhambi kuonyesha ni nani wanayempendeza awe rais wao ifikapo 2015!

Nadhani huu ni ujembe murua kwa ZZK. Wapiga kura wanamtaka Slaa na siyo ZZK. Naomba Zito ujitathmini upya na ikiwezzekana ufute kauri yako
 
Dr.Slaa sijawi na wala sitawahi fikiria kama atanunua makamamda ili wampitishe kugombea urais. Huko CCM jamaa wananunua makada ili wabaki pekee kwenye kinyanganyiro cha urais. Na wala hajasema lolote kuhusu kugombea kwake. Yuko kuimarisha chama na sio hawa wanunua watu kwa pesa zetu walizokwapua.Shame on them!
 
Back
Top Bottom