Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,308
- 4,294
Mitifuano huko kwenu vipi mpaka sasa hivi wamefikia wangapi? Tatizo kalee ka ukoo kanawatesa sana
Kwetu wapi!
Mitifuano huko kwenu vipi mpaka sasa hivi wamefikia wangapi? Tatizo kalee ka ukoo kanawatesa sana
Ivi siku serikali ikitangaza viongozi wake wakuu kama ivi:
Rais: DR sala
Waziri wa fedha na uchumi: prof lipumba
Maliasili: Peter msigwa
Mwanasheria au pengine jaji mkuu: tundu lissu
Ulinzi sugu/ lema
Waziri wa sheria : jussa
Naibu : safari
Waziri mkuu Aikael mbowe
Elimu mbatia
Usalama wa taifa mabere nyaucho marando
Nidhamu na mwenendo wa bunge Silinde
Utawala bora Mnyika
Utamaduni na utalii na maliasili Prof kahigi
Mambo ya nje mtatiro
,........
........
.........
........etc etc
Hii serikali ndani ya miaka 3 Tanzania tunaunda ndege zetu, tunazalisha nyuklia na kuwa na rocket za kwenda sayari zingine!!
Its a dream
Umeona eeeeh!!!!
TATIZO MA MC WA SHEREHE ZA HARUSI NDIO TUNAWAPA NAFASI YA KUONGOZA NCHI!!!
Ivi siku serikali ikitangaza viongozi wake wakuu kama ivi:
Rais: DR Slaa
Waziri wa fedha na uchumi: prof lipumba
Maliasili: Peter msigwa
Mwanasheria au pengine jaji mkuu: tundu lissu
Ulinzi sugu/ lema
Waziri wa sheria : jussa
Naibu : safari
Waziri mkuu Aikael mbowe
Elimu mbatia
Usalama wa taifa mabere nyaucho marando
Nidhamu na mwenendo wa bunge Silinde
Utawala bora Mnyika
Utamaduni na utalii na maliasili Prof kahigi
Mambo ya nje mtatiro
,........
........
.........
........etc etc
Hii serikali ndani ya miaka 3 Tanzania tunaunda ndege zetu, tunazalisha nyuklia na kuwa na rocket za kwenda sayari zingine!!
Its a dream
Yaani mimi bila Dr> Slaa, kura yangu itapotea. Yaani itaharibika maana sitapiga. Afu wewe The Gid Show, vijana hawana kitu, kazi kuzurura tu, hamna lolote. Tuwapatie wazee kazi, hata muda wa kuwatunza ni mfupi kuliko vijana.slaa keshazeekasasa zamu ya vijanamzito wa makabwela keshaonesha nia..:lock1::lock1::bump2:
Namimi nimewasikia wakisema akipitishwa Dk Slaa kura watapigia ccm.Hicho kinachosemwa sio masihara wadau, binafsi nimewasikia zaidi ya watu kumi wana misimamo hiyo!