Dr. Usinga Tiba Asilia

Doctor usinga

New Member
Dec 27, 2016
2
1
Doctor usinga tiba asili nibingwa wa matatizo mbali mbali kama kupandishwa yota, kupandishwa cheo kazini, kurekebisha ndoa zenye migogoro, kupata pete yabahati, dawa ya masomo darasani, dawa ya ngekewa kwenye biashara. Mvuto wa mapenzi, dawa ya chango lauzazi, dawa ya nguvu zakiume, dawa za kushika wezi wa mazao mashamban, wezi wa mifugo, wezi wa vitu mbali mbali,dawa za kubeti kwenye mipira,dawa ya kufunga ndoa haraka,dawa ya kuchimbia madini,dawa za zindiko la nyumba, shamba, mwili na kuonganishwa na free mason, dawa zote zinapatikana kwa doctor usinga, wasiliana naye sasa kupitia namba hizi 0717 542913..0753 706421.

 

Attachments

  • Photo.jpg
    Photo.jpg
    43.3 KB · Views: 196
Dr. Tuseme tu kweli nyingi hapo ni changa la macho hasa hiyo ya freemason nakukatalia katakana
Tusizifanye tiba za asili zikadharaulika freemason ni kitu kingine kabisa
 
DOCTOR USINGA TIBA ASILI NIBINGWA WA MATATIZO MBALI MBALI, 0717 251542,0753 706421. Anatibu:kumvuta mpenzi,dawa ya masomo darasani, dawa ya ngekewa kwenye biashara,nguvu zakiume, chango lauzazi,kusafishwa yota, kupandishwa cheo kazini, kurekebisha ndoa zenye migogoro,kurudishwa kazini, zindiko la mwili, nyumba na shamba,kupata utajiri wa majini, pete yabahati, kuonganishwa na free mason,nk.wasiliana na doctor usinga kupitia namba hizi 0717 251542,0753 706421.



Athumani Said Usingakwa Doctor USINGA Tiba Asilia (0717251542 / 0753 706421)·
 
DOCTOR USINGA TIBA ASILI NIBINGWA WA MATATIZO MBALI MBALI, 0717 251542,0753 706421. Anatibu:kumvuta mpenzi,dawa ya masomo darasani, dawa ya ngekewa kwenye biashara,nguvu zakiume, chango lauzazi,kusafishwa yota, kupandishwa cheo kazini, kurekebisha ndoa zenye migogoro,kurudishwa kazini, zindiko la mwili, nyumba na shamba,kupata utajiri wa majini, pete yabahati, kuonganishwa na free mason,nk.wasiliana na doctor usinga kupitia namba hizi 0717 251542,0753 706421.



Athumani Said Usingakwa Doctor USINGA Tiba Asilia (0717251542 / 0753 706421)·
hovyoooooooooooooooo.......
 
OKOKA NDUGU YANGU UMFUATE YESU...Naamini hata huo utajiri unaotaka kutupa wewe hauna. Fanya kazi mshirikishe Mungu yeye atakusaidia hata hivyo itatusaidia nini tupate kilaa kituu humu ulimwenguni alafu baada ya hapo kwenda Jehanum? Mungu atusaidie watu wake tuondokane na hizi tamaa
 
Hi nalo ni janga lingine nchi hii...cha kusikitisha vibandiko vyao mtaani vinasomwa na watoto wadogo....na huyo dr anawaambia ana dawa ya masomo darasani...tunajenga jamii gani??? Yeye anataka umpelekee hela ya serikali afu yeye akupe ya majini...dah tuko karne ya nane
 
Dhu aisee ii ni shida jamaa kaweka apo Na photoshop eti kakalia jani la mgomba pambavu zako
Wagana na makanisa ya siku izi nazani wote ni ndugu moja
 
masom?? dawa,hyo si utumie mwenyew ili uwe na PhD yako ule,maish...et mkuu,mganga?
 
Jamii forum haiko hivi, hadi wachawi siku hizi wanatumia mitandao kutafuta wateja.

Sio JF mkuu, mtaani kugumu, juzi tulimsikia mganga wa dar anauliza wapi kuna mganga mzuri vijijini aende akasafishwe nyota

Huyo jamaa kakosa wateja mtaani, kaamua kuja kuwatafuta humu, kila mtu anaisoma namba
 
DOCTOR USINGA TIBA ASILI NIBINGWA WA MATATIZO MBALI MBALI, 0717 251542,0753 706421. Anatibu:kumvuta mpenzi,dawa ya masomo darasani, dawa ya ngekewa kwenye biashara,nguvu zakiume, chango lauzazi,kusafishwa yota, kupandishwa cheo kazini, kurekebisha ndoa zenye migogoro,kurudishwa kazini, zindiko la mwili, nyumba na shamba,kupata utajiri wa majini, pete yabahati, kuonganishwa na free mason,nk.wasiliana na doctor usinga kupitia namba hizi 0717 251542,0753 706421.



Athumani Said Usingakwa Doctor USINGA Tiba Asilia (0717251542 / 0753 706421)·
Bangi ni mbaya,,,! Hivi amekaa wapi hapo,,,,?
 
Back
Top Bottom