Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
Kuna taarifa za serikali zinasema kwamba Dr.Ulimboka sio mtumishi wa serikali,swali langu je ni kweli kwamba jamaa sio mtumishi wa serikali?na je kama sio muajiriwa wa serikali alikua anashiriki kwenye mazungumzo kati ya serikali na ma dokta ambao ni waajiriwa wa serikali kama nani?
Msaada tutani kwa wanaoufahamu undani wa ushiriki wake kwenye harakati za migomo
Msaada tutani kwa wanaoufahamu undani wa ushiriki wake kwenye harakati za migomo