Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
- Thread starter
- #21
Mchuzi wa bata,
..Dr.Mwakyembe aliitisha mkutano wa waandishi wa habari akasema, "mjadala kuhusu afya yangu umefungwa."
..sasa nahisi Dr.Ulimboka naye atasema hivi, "mjadala kuhusu kutekwa kwangu umefungwa."
joka Kuu,
Tusubiri tumpe nafasi tuyasikie hayo maneno yake.
Last edited by a moderator: