Kumekuwa kukitokea changamoto nyingi ndani ya Taifa letu na kuzua mitafaruko mikubwa ndani ya jamii yetu ya kitanzania na hatima yake hakuna kujua ukweli au uhalisia wa jambo lenyewe. Mfano mzuri ni swala kutekwa kwa Dr Ulimboka lilivuta hisia zetu na kutaka kujua uhalisia wa jambo lenyewe. Lakushangaza hakuna wa kuwaambia Watanzania juu ya ukweli huo, si Serikali, si Dr Ulimboka mwenyewe.
Ninachokumbuka tu kuwa Dr Ulimboka aliahidi kuanika ukweli juu ya kilicho msibu na baadaye nikasikia kuwa aliahidiwa donge nono asiseme lililojili na unaweza kuamini hilo na kweli yuko kimya.Ila ukae ukijua siku tukikutana ujue lazima unieleze ukweli huo vinginevyo sitakubali maana mmezoa kucheza na akili za Watanzania na kuigombanisha Serikali na wananchi.
Ninachokumbuka tu kuwa Dr Ulimboka aliahidi kuanika ukweli juu ya kilicho msibu na baadaye nikasikia kuwa aliahidiwa donge nono asiseme lililojili na unaweza kuamini hilo na kweli yuko kimya.Ila ukae ukijua siku tukikutana ujue lazima unieleze ukweli huo vinginevyo sitakubali maana mmezoa kucheza na akili za Watanzania na kuigombanisha Serikali na wananchi.