Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Leo nikiwa nakatiza mitaa ya Ubungo
Nimemuona Dr Ulimboka akiwa amchoka sana yaani kaishiwa nguvu
Inawezekana bado ana maumivu makubwa
Sijui kama anafanya kazi ili kinachoonekana madaktari wenzake wamemtelekeza
na inawezekana msongo wa mawazo unamfanya adhoofike
Mytake:
Inakuwaje wale waliomsindikiza hawamsadii?
Nimemuona Dr Ulimboka akiwa amchoka sana yaani kaishiwa nguvu
Inawezekana bado ana maumivu makubwa
Sijui kama anafanya kazi ili kinachoonekana madaktari wenzake wamemtelekeza
na inawezekana msongo wa mawazo unamfanya adhoofike
Mytake:
Inakuwaje wale waliomsindikiza hawamsadii?