UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,507
- 7,704
Huyo Kamanda ****** anafaa kumwagiwa petroli na kutiwa kiberiti. Marabuku!
Nyani nani sasa? Na anakufa wapi?
.....Msangi sasa kwanini hasiwekwe chini ya ulinzi?????? chochote anachosema Dr. Ulimboka kwa sasa ni sahihi mi sitii shaka.
dah, inasikitisha sana, sina imani na serikali, sina imani na jeshi la polisi
Yaani ulikuwepo ukaona mhalifu anatajwa na anaondoka anajiinamia wewe upo tu? Ningekuwa mimi ungekuta saa hizi nipo mahabusu nikisubiri kujibu au kesi ya kuua au kujeruhi vibaya na huyo kamanda akiwa either ICU au mochwari akisubiri taratibu za mazishi."LIWALO ACHA LIWE!!!"Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Ahhhhhh, nimesikia eti ni yule baunsa anayekaaga nyuma ya Dr. slaa!!!! Jamani mnataka kuchafua jina la CDM nyie, mmetumwa nini!!!???
Ma dr tafadhali mlindeni sana dr ni hatari kila mtu kuingia kumuona, hawa wajinga wanaweza kutumia mwanya huo!Damu ya mtu haipotei hivi hivi. Na km wamejua hajafa wameenda wodini kufanya nini ama kuona km atawakumbuka. Hii move ni kali.
Nami nimesikia hivyo..sura imemkaa akilini kwasabb cku ya kikao na mkulu magogoni alikuwepo pia.
Mbona hyo rahisi cdm watamtimua siyo cc magamba tungeendelea kumkumbatia tu!Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Ahhhhhh, nimesikia eti ni yule baunsa anayekaaga nyuma ya Dr. slaa!!!! Jamani mnataka kuchafua jina la CDM nyie, mmetumwa nini!!!???
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)
Yaani ulikuwepo ukaona mhalifu anatajwa na anaondoka anajiinamia wewe upo tu? Ningekuwa mimi ungekuta saa hizi nipo mahabusu nikisubiri kujibu au kesi ya kuua au kujeruhi vibaya na huyo kamanda akiwa either ICU au mochwari akisubiri taratibu za mazishi."LIWALO ACHA LIWE!!!"
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa.
Source (Mimi mwenyewe-nilikuwepo)