Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
jamaa dhaiu sana.Wanafanya kila kitu kwa stail ya wazi sana ,tena wakati hawaaminiki.Hao usalama wa taifa wote itakula kwao katik uchaguzi ujao. Katika chaguzi za karibuni wamekuwa wakiponea bahati na kuokolewa ama na polisi au watu wengine.Ukweli halisi ni kuwa sisiem hawajaui raia wpo ktk hali ripe kwa vurugu lisiloisha.Uchaguzi wowote katika nchi kwa kipindi hichi unaweza kuwa mwisho wa CCM.
Hao usalama wa taifa wanajulikana mno katika bia na masifa yao.
Hao usalama wa taifa wanajulikana mno katika bia na masifa yao.