Ideal nzuri ila hata dr akijibu hilo swali la kufirika majibu yake nayo yatakuwa ya kufikirika mi naona asijibu tuu!
Na ifahamike kuwa nikikokotoa hasara inayotokana na muda tunaopoteza njiani sote tuanaofanya kazi ktk jiji la Dsm, Ni sawa na kujiingiza ktk umasikini usio na sababu kwa makusudi. Huku tunasherehekea miaka 50 ya uhuru kwa kutumia BIL karibu 70. Tafakari.
Eti dr slaa! Ondoa hayo mawazo mgando, foleni ya Dar haiwezi kuondolewa na mtu mmoja.
Dr Slaa anaweza kujibu au asijibu. Majibu yako na wengine ndo lengo la makala yangu. Ingewa personal kwa Dr Slaa ningempigia simu au kumtumia yeye binafsi. Mjadala unaendelea kwenye uzi huu ndio lengo lenyewe. Kufikirisha watu na kuwaamsha ili wajue kwa undani hasara ya foleni.
Mkuu kwa mtazamo wangu naona Premises na conclusion ziko sahihi na zina match.Heading nayo ni sahini. Mkuu kwenye kichwa cha habari huwa tunaandika kihabari."Dr. Slaa, wewe unanisaidiaje ktk matatizo haya yanayonipata mwanachama wako?" HIKI SI NI KISWAHILI MKUU, AMA MIE NDIO SIELEWE? ok umeifanya personal sana kamanda, anyway premises na conclusion haviendani plus majibu yako. siyo mbaya ukijipanga Upya kwenye hiyo title yako.
Dr SLAA hebu jitokeze ujibu hoja za Mdau. Ni muhimu kwako binafsi au kupitia katibu wa uenezi JJ Mnyika akakusaidia lakini kupitia maelekezo yako. Hii ni fursa ya kuujuza umma wa Watanganyika hasa wa DSM ungewasaidiaje kupunguza adha ya foleni?
Ndimi Bazazi!
Lakini tukiangalia kwa undani zaidi swali hili ilipaswa kuulizwa Kikwete na Serikali yake.
Dr. Slaa hana uwezo wa kusema neno ha[a zaidi kama tunataka atuletee Siasa tu.
NABII MTARAJIWA!!!
Kubali ukweli mkuu uzi huu umeelekezwa kwa mtu mmoja dr. slaa. kama vipi edit uzi ili tuchangieMkuu kwa mtazamo wangu naona Premises na conclusion ziko sahihi na zina match. Heading nayo ni sahini. Mkuu kwenye kichwa cha habari huwa tunaandika kihabari.
MIZAMBWA
mizambwa! Ni kweli lakini aje tupime hoja zake kama kweli zingefanikiwa kupunguza kama sio kuondoa msongamano wa magari.
Unajua mizambwa kuna mambo mengi ya kufanya ili kupungua foleni.
1. Acha kuendelea kujenga maghorofa katikati ya mji.
2. Punguza ofisi za serikali zilizoko katikati ya mji
3. Anzisha miji ndani ya mji iliyokamilika. Jiulize angalau Mlimani city kumepunguza watu wangapi wa kuingia kariakoo na posta?
4. Fungua njia zingine za kutoka katikati ya mji. Mfano fungua njia ya kutokea K'ndoni makaburini toka maeneo ya mahakama ya kisutu.
5. Nk, nk, nk, nk, nk, nk, nk
Ndimi Bazazi!
Tatizo nyie ni wasahaulifu sana.MIZAMBWA
mizambwa! Ni kweli lakini aje tupime hoja zake kama kweli zingefanikiwa kupunguza kama sio kuondoa msongamano wa magari.
Unajua mizambwa kuna mambo mengi ya kufanya ili kupungua foleni.
1. Acha kuendelea kujenga maghorofa katikati ya mji.
2. Punguza ofisi za serikali zilizoko katikati ya mji
3. Anzisha miji ndani ya mji iliyokamilika. Jiulize angalau Mlimani city kumepunguza watu wangapi wa kuingia kariakoo na posta?
4. Fungua njia zingine za kutoka katikati ya mji. Mfano fungua njia ya kutokea K'ndoni makaburini toka maeneo ya mahakama ya kisutu.
5. Nk, nk, nk, nk, nk, nk, nk
Ndimi Bazazi!
Swala la foleni linafanyiwa kazi na serikali wameanza na mradi wa mabasi tunaona ujenzi unaendelea kwa kasi ya ajabu...Slaa hawezi kukusaidia atakusaidia vipi wakati yeye mwenyewe anasema atafanya Tanzania isitawalike.
Hawezi kukusaidia kwasababu akiingia ikulu hapo itabidi uongeze saa lingine la kusubiri msafara wake upite
mambo yatakuwa ni yale yale.
Swala la foleni linafanyiwa kazi na serikali wameanza na mradi wa mabasi tunaona ujenzi unaendelea kwa kasi ya ajabu...Slaa hawezi kukusaidia atakusaidia vipi wakati yeye mwenyewe anasema atafanya Tanzania isitawalike.