Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Gazeti la Nipashe linatuhabarisha ya kuwa Mheshimiwa Dr. Slaa ambao watanzania wengi tunaamini alishinda Uraisi mwaka 2010 akisema ya kuwa wabunge wa chadema hawana uhasama na JK ila na jinsi gani alitangazwa kuwa Raisi na NEC..........