Ni ukweli usiopingika kuwa ccm pamoja na kuwa chama tawala walikosea sana kumweka makamba kuwa mtendaji mkuu wa chama.
Yani ukimlinganisha na Dk Slaa ni kama sisimizi na tembo.
ni kweli...lakini tusaidie kutatufa solution...in other words "so? wafanyaje?"....CCM wapo humu wanaweza kusikiliza mawazo yako...huwezi jua ati
Ni ukweli usiopingika kuwa ccm pamoja na kuwa chama tawala walikosea sana kumweka makamba kuwa mtendaji mkuu wa chama.
Yani ukimlinganisha na Dk Slaa ni kama sisimizi na tembo.