Rejea umati wote uliokuwa unakulaki,wengine kukuita Mussa kuokoa wanaisrael,wengine mkombozi, eti leo unapata kura kidogo namna hii,
Sio kweli kabisa eti wajiandikishe watu laki moja halafu wapiga kur wawe elfu arobaini,lazima wamefutilia kura zako nying sana na kuacha za mafisadi.
Kama ni vita wao mafisadi ndio wanaanzisha kwa kuchakachua matokeo,
Tanzania bili kitekwe inawezekana!
Sio kweli kabisa eti wajiandikishe watu laki moja halafu wapiga kur wawe elfu arobaini,lazima wamefutilia kura zako nying sana na kuacha za mafisadi.
Kama ni vita wao mafisadi ndio wanaanzisha kwa kuchakachua matokeo,
Tanzania bili kitekwe inawezekana!