zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,004
- 28,626
Alijisafisha kamati kuu hivyo hakukuwa na haja kuendelea kumshutumuKwanini hiyo list of shame mliitoa kwenye website yenu? Nini tafsiri yake?
Alijisafisha kamati kuu hivyo hakukuwa na haja kuendelea kumshutumuKwanini hiyo list of shame mliitoa kwenye website yenu? Nini tafsiri yake?
Ulikuepo iyo sikuHamna uongo utafiti unapingwa kwa utafiti.... Kma ambavyo kafulila alionekana muongo ila leo hii magufuli kakiri kuwa kafulila alikuwa sahihi na hakuwa tumbili kama ambavyo CCM walituaminisha.... Kwahyo mtu anaweza kuwa fisadi kweli ila akileta ushahidi wa jinsi ambavyo hahusiki utaendelea kushikilia bango au unafkiri kamati kuu ni wajinga vile
Lowassa ni waziri mkuu mstaafu so anajua siri nyingi sana za taifa na ndio maana akaishia kuzimwaga na utetezi huko huko kamati kuu na sio huku nje maana wangemletea nongwa hasa..... Cku akikamatwa ndio utaelewa nasema nini au unafkiri CCM wajinga kumuacha ilihali wanamuita fisadi kila kukicha
Kwanini hiyo list of shame mliitoa kwenye website yenu? Nini tafsiri yake?
Aje ajibu , tena aje kujibu na kisa halisi kilichomuondoa TECMnamchokonoa weee ...akijibu mnatafutana mwaka mzima ....
Kwani waliongia humo sio wanadamu tunaoishi nao huku uraiani na kufanya nao kazi..... Kamati kuu sio Mungu ni wanadamu mtafute mmoja atakupa A to Z ya kilichojadiliwa cku ile.... Lisu aliweka ngumu haswaaaa mpaka nyaraka zikamwagwa!!! Walihakikisha kwamba kwa namna yoyote hana kandokando lolote linaloweza sababisha kuwapa point CCM ndio maana kampeni nzima ccm wakabaki fisadi fisadi ila hawaweki facts zozote za maana mezani tofauti na ilivyotegemewa maana walijua huyu naye akijibu kazi kwishaUlikuepo iyo siku
Nafasi ya kutengeneza katiba mpya mlipewa mkaichezea,kwa sasa labda tuanze kura ya maoni ya katiba pendekezwa,tena tukipata pesa mwaka 2030Tukiachana na yote hakuwa na sababu ya kusema tuliopigania miaka 20 yametekelezwa ilihali kuna mambo upinzani wanalilia mpaka leo ikiwemo katiba mpya haijapatikana
Tuliichezeaje ilihali CCM walikuja na Rasimu yao badala ya kuacha wabunge wake wajadili kwa uwazi na ukweli... Mwisho wa cku rasimu ya warioba ikafutwa yote ikaletwa rasimu ya ccm ilioandaliwa na rose migiro hapo ndipo bunge likamalizwa kabisa maana uchama ukaanzaNafasi ya kutengeneza katiba mpya mlipewa mkaichezea,kwa sasa labda tuanze kura ya maoni ya katiba pendekezwa,tena tukipata pesa mwaka 2030
Wakati anaingia chadema, akawa katibu mkuu, akawa mgombea urais, je chadema hawakujua kuwaAmesema Slaa ni msaliti,
Amesaliti kiapo cha upadri
Amesaliti kiapo cha ndoa
Amesaliti kiapo cha ukombozi wa Taifa.
Hebu msaidie kujibu haya.
Labda yangeshughulikiwa kama lowasa angeshinda.Sasa ndo uwaulize chadema mpaka wamempokea lowasa ayo yote yameshughulikiwa
Rasimu ya katiba pendekezwa ina mambo mengi mnayoyataka,kwa nini msingikubali kwa kuanzia kunaAll in all naamini magufuli kupitia rasimu ya warioba ingemsaidia sana hasa vita dhidi ya ufisadi pamoja na uwajibikaji na kupunguza gharama maana hta post nyingi za kisiasa zingefutwa na majimbo kupunguzwa n.k kwahiyo kwa namna yeyote mchakato wa katiba urudi mezani otherwise mkiweka matumaini kwa mtu mmoja siku akistaafu mnaanza from the scratch
"Vidaka Tonge", unakimbilia kuwahi kutoa comment utafikiri una cha maana cha kuandika kumbe, " A Heap of Garbage".Pole mkuu mbowe alimsaliti slaa kwa vipande vya pesa vya lowassa,katiba mpya walioipigania wakina slaa alioipinga kwa nguvu na ushawishi wake lowassa chadema walimchukua,fisadi namba moja chadema walimchukua,hoja ya ufisadi chadema haipo tena na wala si kipaumbele chao.je slaa amechukua kadi ya ccm!
hahahahaha wanamchokonoa ??? ana yule mzeeana akili sana kwa pale chadema sidhani kama kuna anayeweza hata kujibizana naye kwa hojaMnamchokonoa weee ...akijibu mnatafutana mwaka mzima ....