Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
"Tunatarajia kutoa tamko letu leo kufuatia mwelekeo wa utangazaji wa matokeo ya kura za urais na maoni yetu juu ya yale yaliyojiri kuanzia siku ya Jumapili. Tunashukuru kwa uvumilivu na uelewa wanachama wetu, mashabiki na wapenzi wetu wote. Taarifa itakuja baadaye"
source: facebook yake
source: facebook yake