"Tunatarajia kutoa tamko letu leo kufuatia mwelekeo wa utangazaji wa matokeo ya kura za urais na maoni yetu juu ya yale yaliyojiri kuanzia siku ya Jumapili. Tunashukuru kwa uvumilivu na uelewa wanachama wetu, mashabiki na wapenzi wetu wote. Taarifa itakuja baadaye"
source: facebook yake
Dr. Slaa toa tamko tu kuwa umeshindwa na JK si saizi yako. Tatizo ulifuata ushauri usio wa busara wa kugombea urais ambapo matokeo yake umeyaona, umeisha angukia pua sasa, na wenzako wamekuacha wanaingia mjengoni. Polee sana , na utafiti wa REDET pamoja na SNOVATE ambao uliukandia unaonekana kuwa kweli, mpaka sasa jamaa anaongoza kwa 80% na majimbo karibu yote yanaisha . Umeingia CHOO CHA KIKE SLAA !:nono:
Nasikia ameshaongea na wahandishi wa habari je ni kweli?"Tunatarajia kutoa tamko letu leo kufuatia mwelekeo wa utangazaji wa matokeo ya kura za urais na maoni yetu juu ya yale yaliyojiri kuanzia siku ya Jumapili. Tunashukuru kwa uvumilivu na uelewa wanachama wetu, mashabiki na wapenzi wetu wote. Taarifa itakuja baadaye"
source: facebook yake
Mod,
hivi matusi yanaruhusiwa JF?
Patience and torelance are key elements at this particular juncture