Dr. Slaa "Tutashinda kwa asilimia...! wakichezea kura patachimbika!"- Masaa 48 kabla ya kura...

Mwanakijiji,
Mi nilidhani wewe ni mchambuzi huru, lakini siku hizi baada ya kuona wewe ni CDM sina hamu tena na makala zako make ni biased.
Angalia usije wapa watu matumaini na mambo yaje kinyume then wapigane wakati wewe huko nje ya TZ unachekelea tu kwenye keyboard.
Na bila shaka projection zako na Dr.Slaa ni CDM kushinda na ndo wana jf wengi wanasubiri, ukisema kinyume reaction unaijua. So huna jipya la kuleta hapa subiri watu wapige kura tume itoe matoke mengine ni porojo tu.

Pole kwa kukukatisha tamaa; kwa ambao wamenisoma muda mrefu wanajua siko "huru" kihivyo.
 
Haya iko hewani sasa!!

Asante mkuu,Tumemsikia Daktari.Kwa ukweli Arumeru kuna changamoto kubwa CDM kushinda kwa sababu ya nature ya supporters wa CDM ambao wengi ni vijana.Hawa hawakujiandikisha au wengi wao hawakua na umri stahiki muda ule.CDM will loose, Though ni ukweli unaouma kwetu sisi CDM. Sasa sijui kama ile hoja yako ya Viongozi wa juu kujiuzulu tutaishikia bango au vipi...May be kwa sababu wewe upo huko utupe hali halisi unavyoona wewe
 
Poti, imeishia hewani tena kwenye swali la msingi sana!

Tupe kipande kingine kimalizie kabisa.....

Watu tulikuwa hatujalala mpaka sasa tulikuwa tunasubiri hii kitu,

Afu imeishia kwenye swali la msingi "Nassari anashinda Arumeru???"

Hamna jibu.........
 
Poti, imeishia hewani tena kwenye swali la msingi sana!

Tupe kipande kingine kimalizie kabisa.....

Watu tulikuwa hatujalala mpaka sasa tulikuwa tunasubiri hii kitu,

Afu imeishia kwenye swali la msingi "Nassari anashinda Arumeru???"

Hamna jibu.........


Duh poleni; nimeweka audio file hapo juu ambayo iko kamili..
 
Mwanakijiji,
Mi nilidhani wewe ni mchambuzi huru, lakini siku hizi baada ya kuona wewe ni CDM sina hamu tena na makala zako make ni biased.
Angalia usije wapa watu matumaini na mambo yaje kinyume then wapigane wakati wewe huko nje ya TZ unachekelea tu kwenye keyboard.
Na bila shaka projection zako na Dr.Slaa ni CDM kushinda na ndo wana jf wengi wanasubiri, ukisema kinyume reaction unaijua. So huna jipya la kuleta hapa subiri watu wapige kura tume itoe matoke mengine ni porojo tu.
Mkuu Fidivin, nakuunga mkono, kuwapa watu too great expectations za ushindi kunawapa anticipation ya kusheherekea victory, matokeo yakitokea the other way round, wanaishia ku despair na hao hao waliowapa matumaini wanajikuta wanalazimika kuwapooza mashabiki wao kwa kauli kuwa "tulishinda ila tumeibiwa kura!", " Wametuchakachua!" etc na dawa sasa ni "Maandamano nchi nzima!".

Binafsi nasimama kwenye ukweli wangu
"uchaguzi Arumeru Mashariki ulishamalizika kitambo na mshindi alishajulikana kabla!". Kinachoendea sasa ni kukamilishwa tuu kwa sheria, taratibu na kanuni za kumhalalisha na kumthibitisha!.

Najua fika matarajio ya wengi is to "hope for the best!" ila pia ili kupunguza maumivu ya kushindwa, I ask you people please! " get prepared for the worst"!.

"Kuweni tayari kuupokea ukweli mchungu!".

Pasco.
 
Mkuu Fidivin, nakuunga mkono, kuwapa watu too great expectations za ushindi kunawapa anticipation ya kusheherekea victory, matokeo yakitokea the other way round, wanaishia ku despair na hao hao waliowapa matumaini wanajikuta wanalazimika kuwapooza mashabiki wao kwa kauli kuwa "tulishinda ila tumeibiwa kura!", " Wametuchakachua!" etc na dawa sasa ni "Maandamano nchi nzima!".

Binafsi nasimama kwenye ukweli wangu
"uchaguzi Arumeru Mashariki ulishamalizika kitambo na mshindi alishajulikana kabla!". Kinachoendea sasa ni kukamilishwa tuu kwa sheria, taratibu na kanuni za kumhalalisha na kumthibitisha!.

Najua fika matarajio ya wengi is to "hope for the best!" ila pia ili kupunguza maumivu ya kushindwa, I ask you people please! " get prepared for the worst"!.

"Kuweni tayari kuupokea ukweli mchungu!".

Pasco.

Ndio maana nilisema kule kwingine tumaili hilo lote lililojengwa na kupambwa zaidi CDM ndio wana kazi zaidi ya kushinda! na wasiposhinda....
 
Mkuu Fidivin, nakuunga mkono, kuwapa watu too great expectations za ushindi kunawapa anticipation ya kusheherekea victory, matokeo yakitokea the other way round, wanaishia ku despair na hao hao waliowapa matumaini wanajikuta wanalazimika kuwapooza mashabiki wao kwa kauli kuwa "tulishinda ila tumeibiwa kura!", " Wametuchakachua!" etc na dawa sasa ni "Maandamano nchi nzima!".

Binafsi nasimama kwenye ukweli wangu
"uchaguzi Arumeru Mashariki ulishamalizika kitambo na mshindi alishajulikana kabla!". Kinachoendea sasa ni kukamilishwa tuu kwa sheria, taratibu na kanuni za kumhalalisha na kumthibitisha!.

Najua fika matarajio ya wengi is to "hope for the best!" ila pia ili kupunguza maumivu ya kushindwa, I ask you people please! " get prepared for the worst"!.

"Kuweni tayari kuupokea ukweli mchungu!".

Pasco.


Mkuu,
Kama unaifahamu vizuri siasa basi ni rahisi kuelewa! Sidhani kama Dr Slaa anaweza kusema kwamba watashindwa, hata kama anaona mwelekeo huo. Hiyo itawakatisha tamaa wapiga kura na wanaweza wakaghairi hata kwenda kupiga kura. Lakini huwasikii ccm! Kuzomewa na kubezwa kunakowatokea huko Arumeru hadi wanaishia kuporomosha matusi lakini bado wanasema watashinda!?

Mi nadhani tuangalie kushinda kwa cdm na vikwazo vyake ili Dr Slaa ajipange vizuri zaidi!

Kuna swala la uchakachuaji ambalo limedhihirika kwenye chaguzi zilizopita. Hili bado ni tatizo kwa cdm na inaonekana wameshindwa kulikomesha.

Kuna swala la kuboresha daftari la wapiga kura. Wafuasi wengi wa cdm ni vijana na wengi wao hawakuwa wamejiandikisha either kwa kutokujua umuhimu wakati huo, kuwa chini ya umri wa kujiandikisha au kwa sababu nyinginezo. Hili nalo limekuwa ni tatizo na kwa mtazamo wangu ni kwamba cdm sasa wapeleke mswada bungeni utakaoruhusu mtu kuwekewa utaratibu utakaomruhusu kupiga kura kwa kigezo cha umri na ukaazi kwa kuwa ni haki kikatiba badala ya huu wa sasa unaotaka kuwa na kitambulisho kama kigezo pekee! Cdm inawapenzi wengi ila hili ni tatizo kubwa sana kwao.

Filipo.
 
Asante mkuu,Tumemsikia Daktari.Kwa ukweli Arumeru kuna changamoto kubwa CDM kushinda kwa sababu ya nature ya supporters wa CDM ambao wengi ni vijana.Hawa hawakujiandikisha au wengi wao hawakua na umri stahiki muda ule.CDM will loose, Though ni ukweli unaouma kwetu sisi CDM. Sasa sijui kama ile hoja yako ya Viongozi wa juu kujiuzulu tutaishikia bango au vipi...May be kwa sababu wewe upo huko utupe hali halisi unavyoona wewe
Huu ni ukweli mchungu!.
 
Ndio maana nilisema kule kwingine tumaili hilo lote lililojengwa na kupambwa zaidi CDM ndio wana kazi zaidi ya kushinda! na wasiposhinda....



Kama kungekuwa na fair play kwenye hizo chaguzi cdm "walizoshindwa" basi hata mimi nakubaliana na pendekezo lako lileee!

Otherwise hawa jamaa wanastahili pongezi na heshima kubwa sana. Wamewaamsha watu na kubadilisha kabisa siasa na mwelekeo wa nchi yetu kwa ujumla. Tunahitaji tafakari ya kina sana kuwahukumu kwa "kushindwa" kwenye hizi chaguzi ndogo zilizopita!
 
Mwanakijiji,
Mi nilidhani wewe ni mchambuzi huru, lakini siku hizi baada ya kuona wewe ni CDM sina hamu tena na makala zako make ni biased.
Angalia usije wapa watu matumaini na mambo yaje kinyume then wapigane wakati wewe huko nje ya TZ unachekelea tu kwenye keyboard.
Na bila shaka projection zako na Dr.Slaa ni CDM kushinda na ndo wana jf wengi wanasubiri, ukisema kinyume reaction unaijua. So huna jipya la kuleta hapa subiri watu wapige kura tume itoe matoke mengine ni porojo tu.

neutrality is the position of the weak.....remember??
 
Hatuna namna kama wazalendo! Ushindi ni lazima! Hakuna justification za failure kwa hili kwa uongozi mzima! Kama kura haiwezekani then tunafanya nini?
 
Mkuu Fidivin, nakuunga mkono, kuwapa watu too great expectations za ushindi kunawapa anticipation ya kusheherekea victory, matokeo yakitokea the other way round, wanaishia ku despair na hao hao waliowapa matumaini wanajikuta wanalazimika kuwapooza mashabiki wao kwa kauli kuwa "tulishinda ila tumeibiwa kura!", " Wametuchakachua!" etc na dawa sasa ni "Maandamano nchi nzima!".

Binafsi nasimama kwenye ukweli wangu
"uchaguzi Arumeru Mashariki ulishamalizika kitambo na mshindi alishajulikana kabla!". Kinachoendea sasa ni kukamilishwa tuu kwa sheria, taratibu na kanuni za kumhalalisha na kumthibitisha!.

Najua fika matarajio ya wengi is to "hope for the best!" ila pia ili kupunguza maumivu ya kushindwa, I ask you people please! " get prepared for the worst"!.

"Kuweni tayari kuupokea ukweli mchungu!".

Pasco.
Pasco wewe ni mtu wa ajabu kweli, unaposema 'uchaguzi umeshaisha' una maana gani, including wizi wa kura? au ushindi wa halali, kama huo ndio ukweli wako wakati kila mtu anajua uchaguzi bado je uongo wako ukoje....

Then unasema si vizuri Slaa kuwapa watu great expectations wakati huo huo wewe si tu unawapa expectations ni kuwa unasema tayari uchaguzi umeshaisha na Sioi kashinda isn't that worse than giving people expectations?

I know you know who is going to win and you know you did mistakes before, you anticipated wrongly so you are feeling ashame to swallow your tongue in public. Uwe huru ku admit ulikosea lakini hatutakubali excuse yako baada ya matokeo kutangazwa nitakuwa wa kwanza kukudharau.
 
Kwi kwi kwi, magwanda wanapoanza kujihami kabla ya uchaguzi.

Tuliisikia ngonjera hiyo Igunga na Uzini, kiko wapi?
 
Kama kungekuwa na fair play kwenye hizo chaguzi cdm "walizoshindwa" basi hata mimi nakubaliana na pendekezo lako lileee!

Otherwise hawa jamaa wanastahili pongezi na heshima kubwa sana. Wamewaamsha watu na kubadilisha kabisa siasa na mwelekeo wa nchi yetu kwa ujumla. Tunahitaji tafakari ya kina sana kuwahukumu kwa "kushindwa" kwenye hizi chaguzi ndogo zilizopita!

hapana ndio vurugu ilipo; sasa walienda Arumeru ili kuwaamsha wananchi? maana kama hivyo itakuwa ni typical Tanzanian kama yule mwenzetu aliyemaliza mbio wa mwisho na kusema "nchi yangu haikunituma kuanza mbio bali kumaliza". Sasa, sidhani kama CDM walienda kwenye uchaguzi huu kwa ajili ya lengo la "kuwaamsha watu na kubadilisha siasa" na "mwelekeo wa nchi". Miye nilidhani waliamua kushiriki ili washinde sasa kama hilo halikuwa lengo basi nayo ni sababu kubwa ya kwanini wakishindwa wajiuzulu. Inakuwaje timu inaenda kushiriki mechi ili ipate washangiliaje wengi wakati tayari imekubali kushindwa moyoni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom