A revolutionist
Member
- Mar 1, 2012
- 61
- 10
Tunampongeza dr slaa kwa kazi kubwa anayofanya ya kutengeneza na kuimarisha chama huko kanda ya ziwa! Tunakutaka ufike kilolo ili utusafishie uongozi wa chama kwakuwa umejipambanua kuwa ni kibaraka wa ccm 1. Mwaka 2011 wakati wa operation sangara m.Kiti wa chama alidanganya kuwa kilolo kuna mvua na hivyo kuwafanya msifike jambo ambalo lilikuwa si kweli 2. Clay alikidanya chama kwa kugombea ubunge na udiwani-2010 jambo ambalo alikidanganya chama kwani hakufanya kampeni na hatimaye prof.Msola kushinda kiurahisi 3. Hataki kuona wanaharakati wakijenga chama kwakuwa amekuwa amekuwa akitishia watu kuwaweka korokoroni. wadau wote tuungane katika hili ili tujenge chama chetu hapa kilolo na tz kwa ujumla hatimaye tuchukue dola 2015. Nawasilisha!