Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #121
Ungejibu hoja yake kamandaKama Tundu Lisu ana tabia ya kuyumba yumba, unatuambia sisi ili iweje??
Mimi namjua Tundu Antipas Lissu kama wakili wa kujitegemea, m bunge, mwanachama na kiongozi wa CHADEMA.
Lkn huyu dokta Slaa simuelewi elewi hata kidogo.
Alituambia kinyesi yaani (Lowasa) kuja CHADEMA ni sawa na mtu kutoa kinyesi chooni na kukimwaga sebuleni. Mm nilimuelewa.
Ajabu yeye dk Slaa aliyekuwa sebuleni yaani CHADEMA kakimbilia chooni yaani CCM alikotoka Lowasa na kumuacha Lowasa sebuleni.
Sasa huyu mzee Slaa ana akili gani mpaka akimbilie huko alikotuambia ni chooni yaani CCM?
Leo Lowasa karudi huko huko aliko Slaa na wala hakumbuki kama aliwahi kumwita kinyesi, woote wamo ndani ya shimo moja lililojaa kinyesi mafisadi na wala hatumuoni dk Slaa akikimbilia kwingine.
Mzee Slaa, aliyekosa msimamo na hoja ni wewe wala siyo Tundu Lisu.
Nakushauri wewe ambaye sasa hivi ni sehemu ya kinyesi ccm ule mkate wako huko chooni kimya, kimya, maana ukijasema saana uliowaumiza watakuweka kapu moja na mtemi Jiwe aliyetaka kuutoa uhai wa Tundu Lisu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app