Ungejenga hoja kamandaHuyu SILAHA alishasema hataki tena siasa,mbona anaandika kitabu cha kampeni cha CCM.
Jikite kwenye hoja kamanda acha kupanicSlaa badala asimamie mambo yake yeye kama yeye anaanza kuleta mipasho kwa watu wengine.
Aliyoyaandika ni upande mmoja, hajatupa nafasi ya kusikia upande wa Lussu.
Kitendo hicho peke yake kinakiondolea kitabu chake userious na thamani.
Slaa hana hoja zaidi ya mipasho
Ndo maana nikasema wanasiasa wote ni waongo labda wanachotofautiana ni aibu. Kama lissu alimuita Lowasa mwizi ila akampokea chamani na kuanza kumsafisha na slaa akamuita mwizi ila baadae akampokea though baadae nafsi ikamsuta akaondoka nadhani hapa wote wanashare sifa ya uongo ila lisu hana aibu na slaa ana aibuNa ilikuaje Dr. Slaa ndiye aliyemleta Lowassa na akatambulisha kwa Mbowe?
dodge
Khs wanasiiasa kua waongo hio iko kwny DNA yao.Ndo maana nikasema wanasiasa wote ni waongo labda wanachotofautiana ni aibu. Kama lissu alimuita Lowasa mwizi ila akampokea chamani na kuanza kumsafisha na slaa akamuita mwizi ila baadae akampokea though baadae nafsi ikamsuta akaondoka nadhani hapa wote wanashare sifa ya uongo ila lisu hana aibu na slaa ana aibu
Mkuu. Ujamuelewa huyo hataki umseme dr slaa ila mseme lisu tu. wakati slaa ameyumba ZAIDI.Ndo maana nikasema wanasiasa wote ni waongo labda wanachotofautiana ni aibu. Kama lissu alimuita Lowasa mwizi ila akampokea chamani na kuanza kumsafisha na slaa akamuita mwizi ila baadae akampokea though baadae nafsi ikamsuta akaondoka nadhani hapa wote wanashare sifa ya uongo ila lisu hana aibu na slaa ana aibu
Toka namfahamu lisu kama mwanasiasa sijawi kusikia kuyumba kwake katika matamshi yake, na ndio sababu jiwe alitaka kumuua sababu ni mtu wa msimamo hayumbi yumbi, maana kuna wanasiasa wengi tu wanayuyumba na kwa matamshi yao unaona kabisa hawana msimamo na Dr. Slaa ni mmoja wao, pia jiwe naye yumo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Lowassa alivyorudi CCM akapokelewa Ikulu na mpinga mafisadi.Lowassa ni fisadi halafu baadaye tatizo ni mfumo Lowassa sio fisadi huo ni mfano mmoja wapo wa kuyumba kwa lissu
Swali fikirishi je Dr Slaa kasahau km yeye anauwezo mzuri wa kubadirika kitabia?Ndugu zangu,
Kwenye kitabu chake ambacho kwa sasa ni gumzo Tanzania na ughaibuni kinachoitwa "Nyuma ya pazia" Dr.Slaa anweleza Lissu kama mtu mwenye kuyumba yumba na kudandia hoja.Kwa sasa nimefika ukurasa wa 215.View attachment 1351152
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowasa kasimishwa na chama kugombea sio lisu kama lisu, sakata la lowasa hata yeye Slaa alikubaliana nalo.kayumba 1 ya Lowassa... fisadi then sio Lowassa sio fisadi na anampigia debe awe presidaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mmbulu alikosa ulaji ccm akakimbilia chadema,akaporwa tonge la urais chadema akarudi ccm,akiporwa ubalozi waezamkuta act!!
Alitaka upadri mara akaacha akamtamani pareso akala mara akamwacha tena akageukia mke wa mtu akatishiwa kuuwawa akamwacha akageukia kupora tena mke wa mtu mwingine na kukimbia naye huko ughaibuni baada ya kushindwa kumuoa hapa!! Ajabu anaona wenzie ndiyo wanayumbayumba... wakati yeye anaanguka-anguka!! Kasomeni mavitabu ya ujinga vizabizabina huko mbali msitusumbue.
Hatari sanaAlimshambulia lowasa kwa maneno akiwa CCM kisha akamsafisha na kumsifu akiwa chadema, na kugeuza maneno yake, je hapo siyo kuyumba kwa mtu mwenye taaruma ya sheria?
Yeye na Lisu nani kayumba??? Nadhani anaogopa Lisu kufuta nyayo zake. Duniani mti wenye matunda hurushiwa mawe.