Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #141
Rudia kusoma kamandaYeye tunajua amejiunga ama ameungana na CCM. Lakini tunajua pia kwamba Lissu wana ugomvi na serikali ya akina Dr. Slaa. Sasa huko kuyumba kwa Lissu ni katika lipi? Aweke wazi Lissu kayumba wapi? Maana sisi tunajua hata matatizo anayokumbana nayo yanatokana na ugomvi wake na serikali ya akina Dr. Slaa.
Sent using Jamii Forums mobile app