Nashukuru kiongozi wetu shupavu kamanda wa ukweli na uwazi umepasua anga usiku huu bila unafiki. Tanzania ingekuwa na viongozi wengi kama wewe nadhani tungekua mbali sana.
Nashukuru kwa kuendelea kusisitiza Lowassa hatufai na hili ni kosa kubwa chama chetu kulifanya na mbaya zaidi kuvishinikiza vyama vingine kuingia bila kujitambua.
Nakushauri anzisha movement ambayo itarudisha sasa CHADEMA asilia yetu au anzisha chama kingine tuamie huko. Ikiwezekana hata ACT nao sio wabaya kujiunga nao.
Tumwache Mbowe ahangaike na mafisadi wake wasafishane mpaka wawe weupe kama theluji kwa mtazamo wao.
Maelfu ya wafuasi wako tuko na wewe na popote utakapokuwepo tupo na sisi.
Mungu akujalie afya njema uzidi kutufundisha na kutupa maono yako
Nashukuru kwa kuendelea kusisitiza Lowassa hatufai na hili ni kosa kubwa chama chetu kulifanya na mbaya zaidi kuvishinikiza vyama vingine kuingia bila kujitambua.
Nakushauri anzisha movement ambayo itarudisha sasa CHADEMA asilia yetu au anzisha chama kingine tuamie huko. Ikiwezekana hata ACT nao sio wabaya kujiunga nao.
Tumwache Mbowe ahangaike na mafisadi wake wasafishane mpaka wawe weupe kama theluji kwa mtazamo wao.
Maelfu ya wafuasi wako tuko na wewe na popote utakapokuwepo tupo na sisi.
Mungu akujalie afya njema uzidi kutufundisha na kutupa maono yako