Wakati Dr Slaa akikubalika sana kisiasa, kwenye ziara zake alikuwa anatembea na gari maalum la matangazo ambalo lina jukwaa juu ili aweze kuona maelfu ya wafuasi wake. Kwa sasa hahitaji hata gari maana akisimama tu anaona kila mtu. Mpaka waliosimama nyuma kabisa anaweza kuwaona
Umekosa ugoro muda mrefu ehe..?kaulize kdo ya viroba,konyagi na the type ni kiasi gani....na wewe unatumia kiasi gani cha hiyo kodi...?haiwezakani mtu kutamuka abariki gongo halafu anakuja kuwaomba kura. kumusikiliza utakuwa niuendawazimu.hiyo ni chadema.haiwezakani kufika popote mtu kutumia ndenge tano kuzungukia kata moja. huo niwedawazimu chadema. chadema kama kweli unauchungu na watanzania acha kuwashauli kunywa gongo.chadema acha kuwahadaa watanzania kuwa unawatetea huku uliruka na denge tano kwenda kuwaomba kura wananchi wa kata moja chadema hapo unatakiwa ujiulize Mara mbili mbili.chadema sisi watanzania safari tulishaiaza na ccm muda mulefu uliopita ccm. huyee
haiwezakani mtu kutamuka abariki gongo halafu anakuja kuwaomba kura. kumusikiliza utakuwa niuendawazimu.hiyo ni chadema.haiwezakani kufika popote mtu kutumia ndenge tano kuzungukia kata moja. huo niwedawazimu chadema. chadema kama kweli unauchungu na watanzania acha kuwashauli kunywa gongo.chadema acha kuwahadaa watanzania kuwa unawatetea huku uliruka na denge tano kwenda kuwaomba kura wananchi wa kata moja chadema hapo unatakiwa ujiulize Mara mbili mbili.chadema sisi watanzania safari tulishaiaza na ccm muda mulefu uliopita ccm. huyee
haiwezakani mtu kutamuka abariki gongo halafu anakuja kuwaomba kura. kumusikiliza utakuwa niuendawazimu.hiyo ni chadema.haiwezakani kufika popote mtu kutumia ndenge tano kuzungukia kata moja. huo niwedawazimu chadema. chadema kama kweli unauchungu na watanzania acha kuwashauli kunywa gongo.chadema acha kuwahadaa watanzania kuwa unawatetea huku uliruka na denge tano kwenda kuwaomba kura wananchi wa kata moja chadema hapo unatakiwa ujiulize Mara mbili mbili.chadema sisi watanzania safari tulishaiaza na ccm muda mulefu uliopita ccm. huyee
Point well taken, dude!!haiwezakani mtu kutamuka abariki gongo halafu anakuja kuwaomba kura. kumusikiliza utakuwa niuendawazimu.hiyo ni chadema.haiwezakani kufika popote mtu kutumia ndenge tano kuzungukia kata moja. huo niwedawazimu chadema. chadema kama kweli unauchungu na watanzania acha kuwashauli kunywa gongo.chadema acha kuwahadaa watanzania kuwa unawatetea huku uliruka na denge tano kwenda kuwaomba kura wananchi wa kata moja chadema hapo unatakiwa ujiulize Mara mbili mbili.chadema sisi watanzania safari tulishaiaza na ccm muda mulefu uliopita ccm. huyee
nani asiyefahamu kuwa kuwa nyie mataahila?hapa unavunga kuwa haujaelewa kitu.lakini ninauhakika yakuwa ujumbe umekufikia. chadema kwa ulimbukeni wa viongozi pamoja na wafasi wake.Tanzania hamutaiweza Dada yangu!Point well taken, dude!!
nani asiyefahamu kuwa kuwa nyie mataahila?hapa unavunga kuwa haujaelewa kitu.lakini ninauhakika yakuwa ujumbe umekufikia. chadema kwa ulimbukeni wa viongozi pamoja na wafasi wake.Tanzania hamutaiweza Dada yangu!
Soma tena huu uzi linganisha na ule ulioanza leo ndio utajua binadamu tulivyo. Waliounga mkono wengi leo kimya na walioponda leo engi pia wako kimya. Kisa alietoa wazola kwanza ni mwana CDM wakati huo na leo ameachana na CDM, na anaefagilia wazo safari hii ni waziri wa CCM akiungwa mkono na spika.Ni wachache sana wataendelea na msimamo waliokuwa nao mara ya kwanza.Nimekumbuka mbali sana. Dr. Slaa alivyosema hivi watu wakambeza sana.