Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Vp kuhusu suala la Millya na Chitanda Arusha waliadhibiwa?.Kipi kinaendelea naomba kujua plseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Hapa sasa ndio patamu. Naomba sana Slaa awafukuze chama.
Vp kuhusu suala la Millya na Chitanda Arusha waliadhibiwa?.Kipi kinaendelea naomba kujua plseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Hapa sasa ndio patamu. Naomba sana Slaa awafukuze chama.
Vijana wa Nape mkiwa kazini.JF naomba muwe mnafuatilia kauli ya mtu neno hadi neno na kuelewa maana yake Dr. SLAA alisema ikifika leo saa 7:02 kama watakuwa hawajawasilisha barua za kujizuru ndipo ktk muda huo hatua za kinidhamu ZITAANZA kuchukuliwa siyo muda huo ni tit for tat kuwafukuza
Ndiyo MAANA hata kipindi cha kampeni hakueleweka aliposema ndani ya siku 100 mchakato wa katiba utakuwa umeanza wengi ilikuwa ZERO kama leo HUYU NI PHD HOLDER YA UKWELI
Vijana wa CCM akili zenu ziko kwenye visigino? watu wanajadili maswala mazito mfano namna ya kuondoa tatizo la mgwo wa umeme ila nyie mmejikita kwenye issue ya CDM ambayo haisaidii kwenye mambo ya msingi.
CCM waandaeni vijana wenu vizuri.
Ngoma ngumu jamani msichukulie ili suala kama Kitchen Party!Dr Slaa, alipiga mkwala wa barua kakutana ni mtu wa shoka Naibu Meya wa CDM kamgeuzia kibao anataka Dr Slaa aitishe mkutano na vyombo vya habari hawaombe radhi Madiwani wote kama ataki ngoma mahakamani
Saa ya Slaa inasoma kimarekani saa hizi ni usiku kule !
tatueni tatizo msiwe kama rais wenu anayesingizia mawinguSaa ya Slaa inasoma kimarekani saa hizi ni usiku kule !
Viongozi wa bongo wabunifu kweli, unahonga wabunge ili bajeti uchwara ipite? Some of these things are historical, really!!Mwenzenu mkewe alivamiwa na vibaka, nadhani na saa yake iliibiwa.
kwa akili yako haitakiwi tujadili chochote zaidi ya umeme??...kisa...imeguswa cdm...acheni hizo bwana...hapa tutajadili hata kama kuna kiza...guys mbona kuna maongeziu hayana staha ? Slaa kuwa hapa jamvini haina maana kwamba tumshushie hadhi .kweli unaweza kusema anaropoka ropka na mkifungiwa mnalalamiaka ? Sidhani kama slaa na hao wachadema arusha ni issue kubwa kuliko ya jairo na ikulu na umeme tanzania .lakni ile iko ambayo inaumiza taifa kwa kiasi kikubwa .kashfa nzito ya rushwa na ikulu imekaa kimya eti likizo au kasimamishwa kwa nusu mshahara kuchunguza .hebu tuweni wastaarabu .kutumia majina ya kuficha si ruhusa kumtukana slaa na swala arusha ni lao chadema nyie ccm mnahesabu saa ipi ? Iwasaidie nini ? Hebu tusimamie maswala ya nchi chadema wamesema kwa wana chama wao wacha tuone slaa kama km atafanya nini .hawezi kufanya maamuzi kupitia jf .
JF naomba muwe mnafuatilia kauli ya mtu neno hadi neno na kuelewa maana yake Dr. SLAA alisema ikifika leo saa 7:02 kama watakuwa hawajawasilisha barua za kujizuru ndipo ktk muda huo hatua za kinidhamu ZITAANZA kuchukuliwa siyo muda huo ni tit for tat kuwafukuza
Ndiyo MAANA hata kipindi cha kampeni hakueleweka aliposema ndani ya siku 100 mchakato wa katiba utakuwa umeanza wengi ilikuwa ZERO kama leo HUYU NI PHD HOLDER YA UKWELI
oneni mlivyopwaya kwenye hoja hii, badala ya kuongea mantiki mnaropoka tu, mambo ya umeme hata mimi yananitesa, nataka mtu anayesema aweza kuwa rais awe na kauli zilizo nyooka sio kuwa kama hawa wanaosababisha matatizo kwa sasa hivi, oneni mnavyojichanganya.
Kwa slaa awe makini sana mimi namtazama kwa jicho la tatu, ngoja aendelee kutoa matamko hewa tu amabyo hawezi kuyafanya, madiwani wanajua ukweli nami nataka awatokee ili tuone ukweli ni upi.
kaka naona unatoka nje ya mada. hii post haihusiani na umeme bali majigambo ya Slaa kwenye vyombo vya habari kuwa ikifika sa7 na dakika2 ndipo ataanza kutoa maamuzi sasa mbona anakuwa ulojo tena?unadhani dr.slaa akifanya yale unayotamani afanye ndiyo matatizo sugu ya ukosefu wa umeme na rushwa ndani ya serikali yatakoma?
Mbona wewe hukumpeleka mahakamani Dr Slaa na Mch Mtikila? Au nawe ilikuwa ngoma nzito?Ngoma ngumu jamani msichukulie ili suala kama Kitchen Party!Dr Slaa, alipiga mkwala wa barua kakutana ni mtu wa shoka Naibu Meya wa CDM kamgeuzia kibao anataka Dr Slaa aitishe mkutano na vyombo vya habari hawaombe radhi Madiwani wote kama ataki ngoma mahakamani
Kwa mujibu wako mwenyewe, ulisema deadline ni leo saa saba mchana, kwa madiwani wa arusha wawe wametoa taarifa za kujiuzulu, tunakusubiri wewe mzee rais kivuli wa tanzania!