GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
huku kwetu umeme ulikatwa kuanzia saa saba usiku wa manane hadi saa 2 usiku wa kesho yake.
kabla dr. slaa ahajaangalia saa yake, muambie kwanza huyo goigoi wenu wa magogoni atatue tatizo la umeme badala ya kurandaranda kujipendekeza kwa zuma ati ziara ya kihistori...ina huu?
Nina kazi ya kukupa njoo home kwangu usiku saa 5