Dr Slaa,
Kwanza kabisa, Asante sana kwa kazi nzuri uliyotufanyia watanzania mwaka huu. Mafanikio ya vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge yamechangiwa kwa kiasi kikubwa sana na ushiriki wako kwenye kampeni za uraisi.
Hata hivyo, hii speed ya kutangaza majimbo 14 kwa siku inayofanywa na tume ya uchaguzi, na hili la kuchagua tu baadhi ya majimbo ambayo "wamefanya vizuri" kwa mtizamo wao, ni jambo ambalo linahitaji tamko kubwa sana toka kwako na viongozi wa chadema.
Jana wakati tukifuatilia matangazo ya uchaguzi toka kwenye TV mbali mbali Tanzania, watangazaji wote walikuwa wanakwepa kutaja matokeo ya ngazi ya uraisi. Ilifikia hatua Masako wa ITV anamkataza mmoja wa watangazaji kutangaza matokeo ya uraisi kutoka katika vituo mbalimbali.
CCM waligundua kitu kimoja, watanzania walikuwa wanajumlisha matokeo ya kura yaliyokuwa yanatangazwa toka katika kila kituo. Na kama ukifuatilia uchaguzi wa kenya wa mwaka 2007, hii ndiyo ilisababisha ugumu sana kwa tume ya uchaguzi kubadilisha matokeo maana wananchi walikuwa wanajua tayari hesabu yao (kutokana na kura za kituo kimoja kimoja).
CCM wamecheza mchezo wa kuficha kura za uraisi toka kituo kimoja kimoja na wanazitoa kwa mafungu. Huu ni wakati wa nyie kutoa tamko ili kuwahakikishia wafuasi wenu (nikiwemo mimi) kuwa matokeo yanayotolewa sasa hivi na tume ya uchaguzi yanalingana na yale ambayo wasimamizi wenu wa kila kituo cha uchaguzi wameyathibitisha.
Again, asante sana kwa kazi nzuri unayolifanyia taifa la watanzania.
No matter what jeshi la wananchi watanzania litaamua kufanya, You are my president Dr Slaaa.
Asante
Kwanza kabisa, Asante sana kwa kazi nzuri uliyotufanyia watanzania mwaka huu. Mafanikio ya vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge yamechangiwa kwa kiasi kikubwa sana na ushiriki wako kwenye kampeni za uraisi.
Hata hivyo, hii speed ya kutangaza majimbo 14 kwa siku inayofanywa na tume ya uchaguzi, na hili la kuchagua tu baadhi ya majimbo ambayo "wamefanya vizuri" kwa mtizamo wao, ni jambo ambalo linahitaji tamko kubwa sana toka kwako na viongozi wa chadema.
Jana wakati tukifuatilia matangazo ya uchaguzi toka kwenye TV mbali mbali Tanzania, watangazaji wote walikuwa wanakwepa kutaja matokeo ya ngazi ya uraisi. Ilifikia hatua Masako wa ITV anamkataza mmoja wa watangazaji kutangaza matokeo ya uraisi kutoka katika vituo mbalimbali.
CCM waligundua kitu kimoja, watanzania walikuwa wanajumlisha matokeo ya kura yaliyokuwa yanatangazwa toka katika kila kituo. Na kama ukifuatilia uchaguzi wa kenya wa mwaka 2007, hii ndiyo ilisababisha ugumu sana kwa tume ya uchaguzi kubadilisha matokeo maana wananchi walikuwa wanajua tayari hesabu yao (kutokana na kura za kituo kimoja kimoja).
CCM wamecheza mchezo wa kuficha kura za uraisi toka kituo kimoja kimoja na wanazitoa kwa mafungu. Huu ni wakati wa nyie kutoa tamko ili kuwahakikishia wafuasi wenu (nikiwemo mimi) kuwa matokeo yanayotolewa sasa hivi na tume ya uchaguzi yanalingana na yale ambayo wasimamizi wenu wa kila kituo cha uchaguzi wameyathibitisha.
Again, asante sana kwa kazi nzuri unayolifanyia taifa la watanzania.
No matter what jeshi la wananchi watanzania litaamua kufanya, You are my president Dr Slaaa.
Asante