Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,596
- 5,787
KAULI ZAKO TATA
wewe ni dokta. una phd (hata kama ni ya mambo ya kidini lkn ni phd). upeo wako wa kuchambua mambo lazima uwe wa hadhi ya phd. kauli hizi zinanitia wasiwasi kuhusu uwezo wako wa kiuchambuzi na kifalsafa!
"Leo asubuhi Ofisa wa Makao Makuu ya Polisi amenipigia simu kuomba appointment ya kukutanana na polisi kwa mahojiano. nasema sina muda. sisi hatuendi polisi kwa sababu walishatudanganya mara nyingi tu. kama wanataka waje watukamate lkn sisi hatuendi polisi". la kushangaza, jana majira ya saa 4 na dkk 45 asubuhi, dr slaa na lema walikwenda wenyewe makao makuu ya jeshi la polisi kwa mahojiano! walihojiwa kwa saa 2 kisha wakaruhusiwa kuondoka. alipohojiwa na waandishi wa habari nje ya makao makuu ya polisi, slaa alisema "tumehojiwa lkn hatukukubali maelezo yaandikwe. hakuna sehemu ambayo tumetia sahihi maelelezo ya mahojiano".
hapo kwenye "red" hana digrii hata moja huyo