Noel Lemanya
New Member
- Nov 2, 2010
- 3
- 0
Naomba sana tujue ya kuwa mapinduzi haya makubwa yanayoendele kutokea sehemu malimbali kwa wabunge wa CHEDEMA kupta ktk majimbo mbalimbali ni kwasababu ya SHUJAA mmoja ambaye alikubali kwenda MISRI (EGYPT) na kututoa utumwani na kutuonyesha KAANANI. sasa KAANANI yetu ni TAnzania na Bungeni ni Yerusalemu. Amefanya kazi kubwa ya kuweka Zege ambalo CCM wameshndw kulitoa na tunashuhudia akina GOLIATI wanaanguka kama majani.
Tusiache kumuombea huyu shujaa wetu Dr Slaa, tunajua kwasasa wanachakachua sana ili huyu jamaa aliyeko Madarakani aonekane ameshinda kwa kishindo, lakini MUNGU yupo 'anything gonna happen' nener give up easily, if u hv kept the faith endelea kuamini.
Maana WABUNGE wengi wa CHADEMA wamekubalika sana na wananchi kupata imani nao just because there is somebdy who did something and that is "THE HERO DR SLAA". Tumuombe MUNGU amlinde na hila zote huku tukisubiri MUNGU anatuambia nini kuhusu kutangaziwa RAIS takaye iongoza Tanzania.
Mimi sijakata tamaa bado na mwamini MUNGU kuwa Slaa ndiye RAIS wetu.
May God bless u soooooooo much all Members. THAX
Tusiache kumuombea huyu shujaa wetu Dr Slaa, tunajua kwasasa wanachakachua sana ili huyu jamaa aliyeko Madarakani aonekane ameshinda kwa kishindo, lakini MUNGU yupo 'anything gonna happen' nener give up easily, if u hv kept the faith endelea kuamini.
Maana WABUNGE wengi wa CHADEMA wamekubalika sana na wananchi kupata imani nao just because there is somebdy who did something and that is "THE HERO DR SLAA". Tumuombe MUNGU amlinde na hila zote huku tukisubiri MUNGU anatuambia nini kuhusu kutangaziwa RAIS takaye iongoza Tanzania.
Mimi sijakata tamaa bado na mwamini MUNGU kuwa Slaa ndiye RAIS wetu.
May God bless u soooooooo much all Members. THAX