Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Kwa hoja iliyopo hapa ... nachelea kusema sio tu kuhusu habari tumayoiona hapa ndio husika kuu..la hasha.
Mi nahisi (kwa kuunganisha na ishu ya kuzima maandamano Arusha) yawezekana raisi (Dr. wa kweli) alikuwa anataka kuzungumza mambo ya wazi na undani zaidi, lakini wakaona waanza kwa vitisho.
Kwa hoja niliyonayo, Dr anazo more evidence kuhusu hili, na inaonekana anaompango wa kumwaga radhi muda wowote, na serikali inajua hilo, so inaanza kupangua hoja kabla haijafikishwa kwa wananchi.
Subirini muone...
Mi nahisi (kwa kuunganisha na ishu ya kuzima maandamano Arusha) yawezekana raisi (Dr. wa kweli) alikuwa anataka kuzungumza mambo ya wazi na undani zaidi, lakini wakaona waanza kwa vitisho.
Kwa hoja niliyonayo, Dr anazo more evidence kuhusu hili, na inaonekana anaompango wa kumwaga radhi muda wowote, na serikali inajua hilo, so inaanza kupangua hoja kabla haijafikishwa kwa wananchi.
Subirini muone...