Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
Wako kwenye mazoezi makali chini ya Afisa Shimbo, si unajua tena - piga, ua, galagaza CCM lazima ishinde !Akina MS, Kudadadeki, Tandale one wako wapi?
Wako kwenye mazoezi makali chini ya Afisa Shimbo, si unajua tena - piga, ua, galagaza CCM lazima ishinde !Akina MS, Kudadadeki, Tandale one wako wapi?
Nilikuwa kwenye mkutano wa Slaa songea,mkutano huu ulifanyika viwanja vya shule na msingi songea kata ya majengo.Ukweli watu walikuwa wengi na walijitokeza kwa mapenz yao na mji wote wa songea ulitetemeka.yafuatayo ni mapungufu ambayo yalitokea na km sio mapenz ya dhat ya wananchi kwa slaa na mbunge wao Edson mbogoro bac mkutano ulishaharibika.1)mikutano mingi ya slaa mkoa wa ruvuma ilivunjika jana kutokana na helikopta kukwama songea mjin kutokana na gari ambalo lilibeba mafuta lile fuso big sound kukwama njombe na kushindwa kufika songea hivyo kumlazimu slaa asafiri kwa gar toka songea had mbinga na kufanikiwa kufanya mkutano mmoja tu mbinga mjini,na mikutano zaid ya mitatu ambayo ingebid ifanyike ktk vijiji tofauti vya jimbo la mbinga magharibi haikufanyika kutokana na muda wa kusafir na gari,hali hii imewakasilisha sana wananchi wa mbinga kwa kuwa watu walifika ktk maeneo ya tukio toka hasubuh wakimsubiri dokta Slaa,hali hii pia ilitokea katika jimbo la songea mjini kulipangwa ifanyike mikutano miwili eneo la majengo na eneo la yule ya Tanga nje kidogo ya mji wa songea,lakini ulifanyika mkutano mmoja tu eneo la majengo na kuwaacha wanakijiji waliojitokeza kwa wingi katika eneo la shule ya Tanga ambao toka asubuh walikuwa wakisubiri mkutano wakilalamika kwa kuwa kilichofanyika ni kwamba dr slaa hakushuka pale,alizunguka tu na helikopta ktk eneo na kuwaomba radhi wananchi kwa kupitia kwa viongoz,lakin kwa hali halic wananchi hawakuelewa.baada ya hapo slaa alipitiliza moja kwa moja ktk viwanja vya majengo tena kwa kuchelewa.2)viwanja alivyofanya mkutano slaa hapa songea mjin vilifulika watu weng kuanzia majira ya saa saba mchana lakini cha kushangaza lile fuso la big sound halikufika na viongoz wa mkoa waliambiwa waandae mkutano wa shule ya tanga na huyu mgombea wa ubunge aliuandaa vizur kuanzia jukwaa na sound kwa ujumla,lakin huu wa majengo ulikuwa unashughulikiwa na makao makuu na waliwaambia viongoz wao wa songea kuwa big sound yan lile gar linalotumiwa km jukwaa na limebeba sound system kwamba linakuja na litatumika majengo,lakin wananch walijaa uwanjan na had saa kumi na robo gar hilo lilikuwa halijafika na uwanja ulikuwa hauna muziki wala jukwaa na waratibu wa kampen wakikaa kimya.Hal hii ilimlazimu mgombea ubunge mwanasheria edson mbogoro kunusuru haibu kwa kuleta majukwaa ya dharura kwenye majira ya saa kumi na nusu.saa kwenye maspika na vipaza sauti ndio ilikuwa balaa,yaan watu walifulika weng lakin hawasikii kitu hasa wale waliokaa mbal na jukwaa,hata dr alikuwa anaumia sana kwa kuwahutubia watu weng kupitia vipaza saut hafifu vitumikavyo kwenye magar ya matangazo.Hakika wasaidiz wa slaa sasa wanaanza kumuhujumu slaa..hizo ndizo kasoro kubwa zilizokea songea..hakika chadema tupo nyuma yenu bac jipangeni il muctuangushe.
View attachment 14649View attachment 14647
View attachment 14646
Inasemakana huko Iringa kwa Wanyarukolo hali ilikuwa moto, tena wa kuotea mbaili. Jamaa mpaka wanaamua kurekodi wenyewe kampeni za Slaa ili waandishi wetu uchwara wasije pindisha mambo!!!! Kwa ujumla wananchi hawadanganyiki safari hii........!!!
Nimeona kwa tbc1 ila sasa hawa wote wana kadi ya kupigia kuraaa? Na kama hawana wamekuja kusikiliza nadhani na ndipo hapo tathimini zetu huyumba na kama wana kadi za kupiga kura je wote wataenda piga kura siku hiyoooo?
Dr.Slaa in Songea
Kikwete in Igunga
Duh ! hizo fulana, kofia na kanga - yanikumbusha hadithi ya mpiga zumari na mapanya.