Elections 2010 Dr. Slaa nyanda za Juu Kusini: Songea, Iringa, Mbeya (picha na habari)

elimu_bure.jpg

slaa kadanganya wengi.....
 
Nilikuwa kwenye mkutano wa Slaa songea,mkutano huu ulifanyika viwanja vya shule na msingi songea kata ya majengo.Ukweli watu walikuwa wengi na walijitokeza kwa mapenz yao na mji wote wa songea ulitetemeka.yafuatayo ni mapungufu ambayo yalitokea na km sio mapenz ya dhat ya wananchi kwa slaa na mbunge wao Edson mbogoro bac mkutano ulishaharibika.1)mikutano mingi ya slaa mkoa wa ruvuma ilivunjika jana kutokana na helikopta kukwama songea mjin kutokana na gari ambalo lilibeba mafuta lile fuso big sound kukwama njombe na kushindwa kufika songea hivyo kumlazimu slaa asafiri kwa gar toka songea had mbinga na kufanikiwa kufanya mkutano mmoja tu mbinga mjini,na mikutano zaid ya mitatu ambayo ingebid ifanyike ktk vijiji tofauti vya jimbo la mbinga magharibi haikufanyika kutokana na muda wa kusafir na gari,hali hii imewakasilisha sana wananchi wa mbinga kwa kuwa watu walifika ktk maeneo ya tukio toka hasubuh wakimsubiri dokta Slaa,hali hii pia ilitokea katika jimbo la songea mjini kulipangwa ifanyike mikutano miwili eneo la majengo na eneo la yule ya Tanga nje kidogo ya mji wa songea,lakini ulifanyika mkutano mmoja tu eneo la majengo na kuwaacha wanakijiji waliojitokeza kwa wingi katika eneo la shule ya Tanga ambao toka asubuh walikuwa wakisubiri mkutano wakilalamika kwa kuwa kilichofanyika ni kwamba dr slaa hakushuka pale,alizunguka tu na helikopta ktk eneo na kuwaomba radhi wananchi kwa kupitia kwa viongoz,lakin kwa hali halic wananchi hawakuelewa.baada ya hapo slaa alipitiliza moja kwa moja ktk viwanja vya majengo tena kwa kuchelewa.2)viwanja alivyofanya mkutano slaa hapa songea mjin vilifulika watu weng kuanzia majira ya saa saba mchana lakini cha kushangaza lile fuso la big sound halikufika na viongoz wa mkoa waliambiwa waandae mkutano wa shule ya tanga na huyu mgombea wa ubunge aliuandaa vizur kuanzia jukwaa na sound kwa ujumla,lakin huu wa majengo ulikuwa unashughulikiwa na makao makuu na waliwaambia viongoz wao wa songea kuwa big sound yan lile gar linalotumiwa km jukwaa na limebeba sound system kwamba linakuja na litatumika majengo,lakin wananch walijaa uwanjan na had saa kumi na robo gar hilo lilikuwa halijafika na uwanja ulikuwa hauna muziki wala jukwaa na waratibu wa kampen wakikaa kimya.Hal hii ilimlazimu mgombea ubunge mwanasheria edson mbogoro kunusuru haibu kwa kuleta majukwaa ya dharura kwenye majira ya saa kumi na nusu.saa kwenye maspika na vipaza sauti ndio ilikuwa balaa,yaan watu walifulika weng lakin hawasikii kitu hasa wale waliokaa mbal na jukwaa,hata dr alikuwa anaumia sana kwa kuwahutubia watu weng kupitia vipaza saut hafifu vitumikavyo kwenye magar ya matangazo.Hakika wasaidiz wa slaa sasa wanaanza kumuhujumu slaa..hizo ndizo kasoro kubwa zilizokea songea..hakika chadema tupo nyuma yenu bac jipangeni il muctuangushe.

Shukrani sana Mkuu Libasket b kwa ujumbe wako

Kwa wana CHADEMA.........ujumbe huo hapo juu ni muhimu sana sana kuushughulikia na kurekebisha tatizo HARAKA...........wakati huu si wa kupoteza kura kutokana na mambo yanayoweza kuzuilika..............please don't let us down on this again..................
 
IMG_2082.jpg


IMG_2093.jpg


IMG_2096.jpg


Inasemakana huko Iringa kwa Wanyarukolo hali ilikuwa moto, tena wa kuotea mbaili. Jamaa mpaka wanaamua kurekodi wenyewe kampeni za Slaa ili waandishi wetu uchwara wasije pindisha mambo!!!! Kwa ujumla wananchi hawadanganyiki safari hii........!!!
 
Nimeona kwa tbc1 ila sasa hawa wote wana kadi ya kupigia kuraaa? Na kama hawana wamekuja kusikiliza nadhani na ndipo hapo tathimini zetu huyumba na kama wana kadi za kupiga kura je wote wataenda piga kura siku hiyoooo?


Kweli Jethro,
kumbuka mambo yaliyotokea kwa Mrema,aahh,namwonea huruma Dr.Slaa,baada ya matokeo atachanganyikiwa.
Du,kweli CHADEMA wamelostisha mzee wa watu
 
Kama wapiga kura ni 17mil na wanachama wa CCM ni 5 mil na ukiangalia picha nyingi za CCM na kampeni unakuta wanaokuja kwenye mikutano yao kwa kusombwa wote wana either kofia au khanga au shati la chama.Tofauti kabsaa na CHADEMA ata bendera ni haba which means ndo hao 12mil wamekuja msikiliza raisi mtarajiwa ukiondoa 5 mil ya CCM.
Simple math kama izo ni dalili tosha Dr Slaa Uraisi ni wake
 
Najisikia mwenye furaha na kupata burudani sana.

Dr. Slaa SHINDA SHINDA TENA KWA KISHINDO.

Hakuna ubishi hapa.

Kikwete hatukuhitaji tena tumechoka na ahadi hewa. Tunahitaji mabadiliko.

Elimu bure. Dah! nani zaidi.
 
Slaa_Songea.jpg


Dr.Slaa in Songea

rostam_election.jpg


Kikwete in Igunga

Duh ! hizo fulana, kofia na kanga - yanikumbusha hadithi ya mpiga zumari na mapanya.

laaaa Dr slaa kura yangu unayo tayari, hao jama wanavishwa fulana nao wameridhika tuu maendeleo ya nchi ni zaidi ya fulana na khanga! hivi kweli huo ndio mwisho wa kufikiri kwao ccm haitufai kwa sasa expiry date ilishafika, MCHAGUE SLAA KWA MAENDELEO. YAANI YEYOTE ATAKAYE AMKA SIKU YA 31 OCTOBER na akaipigia ccm atakuwa msaliti wa maendeleo ya nchi,
HAKIKA TUTAPATA UHURU WA TANZANIA MWAKA HUU KWA KUMCHAGUA DR SLAA. i am very happy kumwona Dr slaa ametokea wakati mwafaka,
 
Back
Top Bottom