Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kuna watu walitoa tathimini kwamba CHADEMA haikubaliki kusini mwa Tanzania,
Hao Wana laana tu.
Wameoza.
Wana ubongo wa kutu
Kuna watu walitoa tathimini kwamba CHADEMA haikubaliki kusini mwa Tanzania,
USHUHUDA NI MUHIMU:
Wiki hii nilikuwa Kigoma mjini, Kasuru na Kibondo. watu niliokutana nao kati ya 50 na 100, kulikuwa na watu kama 50% yao ambao walikuwa tayari kutopiga kura kwa sababu walizodai kuwa " hawakuwa wanaona wa kumchagua wakati Dr. Slaa alipokuwa hajapitishwa, lakini sasa, tumepata wa kumpigia."
So, wengi kadi wanazo na wengine walikuwa wameisha kata tamaa ya kupiga kura lakini sasa wakumpigia yupo Dr. Slaa.
YOU HAVE A POINT ccm inahitaji mabadiliko makubwa saana!
Ewaaaah kwanza nina nia mathubuti juu ya hiyo familia na niko CCM,
Moja ndani ya UVCCM lazima nikafanye mapinduzi ya hali ya juu subiri utaipata habari na nitaanza na RizOne kumweka benchi na fitna ya hali ya juu maana huku nyamagana alichokuja kukileta ndicho kitakacho mgharimu 2015
Kura nampa Dr.JK na mbunge napeleka chadema hapa nyamagana piga ua masha simpi na nin akaaa nae jirani hapa jirani twaangalia ziwani
Angalia tofauti ya picha hizi.....
mi nakubaliana nawe kwa kiasi fulani kuwa maneno yanawaingia safi, ila kwa kusoma alama za nyakati nikuwa hii yote ni kwa maaandalizi ya 2015 ndipo hali itakuwa ndio siasa imepamba moto
mean while tu angaze macho yetu kwenye katiba ya JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA kwa umakini ili huko tuendako tupate maisha bora sasa na elimu bora zaidi na matibabu safi
Mimi nawashauri sana Chadema wafike hadi zanzibar (Unguja na Pemba) kumnadi Dr.Slaa na mgombea mwenza kwani ktk kura za Rais wa Muungano Wazanzibar pia watakuwa na mchango mkubwa sana ktk kura zao.
Ifahamike tu kwamba Zanzibar wanaweza mchagua Sief Hamad kama rais wa Zanzibar na kumchagua Dr.Slaa kama rais wa Jamhuri wakitambua muafaka wa kwanza baina ya Chadrema na CUF kuhusiana na Utawala wa visiwani ambao unawapa nguvu zaidi CUF kuongoza kuliko huo wa mseto na CCM.
Picha ya juu yaonyesha hamna darasa linalotolewa na huyo cheupe badala yake anauza sura na kujisifia kuwa ana pesa.Lakini pia wale wanaohutubiwa nao hawana umakini kwani hakuna cha kusiliza kwani haja yao imetimizwa kwa kupa Njano na kijani
Kura yako kwa dr.slaa
Angalia tofauti ya picha hizi.....
Jethro na Ng'azagala, Kama hiyo ni sababu zenu za kuwatia wasi wasi kwa nini sisi m huwasomba kwa malori ili waje kumsikiliza Kikwete? Penye mzoga ndipo tai ukusanyika! Hata tukisema kuwa nusu ya wahudhuriaji wa mikutano yote ndio wenye shahada, na hao ndio watapiga kura bado Dr Slaa atashinda.tehetehe
na utakuta watu hawa hawa wanajitokeza kwa wagombea wa vyama vingine. na kama unavyosema haijulikani ni wangapi wana kadi za kupigia kura. ni vigumu ku judge matokeo ya uchaguzi kwa kuangalia tu umati wa watu
Nilikuwa kwenye mkutano wa Slaa songea,mkutano huu ulifanyika viwanja vya shule na msingi songea kata ya majengo.Ukweli watu walikuwa wengi na walijitokeza kwa mapenz yao na mji wote wa songea ulitetemeka.yafuatayo ni mapungufu ambayo yalitokea na km sio mapenz ya dhat ya wananchi kwa slaa na mbunge wao Edson mbogoro bac mkutano ulishaharibika.1)mikutano mingi ya slaa mkoa wa ruvuma ilivunjika jana kutokana na helikopta kukwama songea mjin kutokana na gari ambalo lilibeba mafuta lile fuso big sound kukwama njombe na kushindwa kufika songea hivyo kumlazimu slaa asafiri kwa gar toka songea had mbinga na kufanikiwa kufanya mkutano mmoja tu mbinga mjini,na mikutano zaid ya mitatu ambayo ingebid ifanyike ktk vijiji tofauti vya jimbo la mbinga magharibi haikufanyika kutokana na muda wa kusafir na gari,hali hii imewakasilisha sana wananchi wa mbinga kwa kuwa watu walifika ktk maeneo ya tukio toka hasubuh wakimsubiri dokta Slaa,hali hii pia ilitokea katika jimbo la songea mjini kulipangwa ifanyike mikutano miwili eneo la majengo na eneo la yule ya Tanga nje kidogo ya mji wa songea,lakini ulifanyika mkutano mmoja tu eneo la majengo na kuwaacha wanakijiji waliojitokeza kwa wingi katika eneo la shule ya Tanga ambao toka asubuh walikuwa wakisubiri mkutano wakilalamika kwa kuwa kilichofanyika ni kwamba dr slaa hakushuka pale,alizunguka tu na helikopta ktk eneo na kuwaomba radhi wananchi kwa kupitia kwa viongoz,lakin kwa hali halic wananchi hawakuelewa.baada ya hapo slaa alipitiliza moja kwa moja ktk viwanja vya majengo tena kwa kuchelewa.2)viwanja alivyofanya mkutano slaa hapa songea mjin vilifulika watu weng kuanzia majira ya saa saba mchana lakini cha kushangaza lile fuso la big sound halikufika na viongoz wa mkoa waliambiwa waandae mkutano wa shule ya tanga na huyu mgombea wa ubunge aliuandaa vizur kuanzia jukwaa na sound kwa ujumla,lakin huu wa majengo ulikuwa unashughulikiwa na makao makuu na waliwaambia viongoz wao wa songea kuwa big sound yan lile gar linalotumiwa km jukwaa na limebeba sound system kwamba linakuja na litatumika majengo,lakin wananch walijaa uwanjan na had saa kumi na robo gar hilo lilikuwa halijafika na uwanja ulikuwa hauna muziki wala jukwaa na waratibu wa kampen wakikaa kimya.Hal hii ilimlazimu mgombea ubunge mwanasheria edson mbogoro kunusuru haibu kwa kuleta majukwaa ya dharura kwenye majira ya saa kumi na nusu.saa kwenye maspika na vipaza sauti ndio ilikuwa balaa,yaan watu walifulika weng lakin hawasikii kitu hasa wale waliokaa mbal na jukwaa,hata dr alikuwa anaumia sana kwa kuwahutubia watu weng kupitia vipaza saut hafifu vitumikavyo kwenye magar ya matangazo.Hakika wasaidiz wa slaa sasa wanaanza kumuhujumu slaa..hizo ndizo kasoro kubwa zilizokea songea..hakika chadema tupo nyuma yenu bac jipangeni il muctuangushe.
Habari za kuaminika ni kuwa Dr Slaa atakuwa akifanya mikutato ya kampeni katika mji wa kyela kesho tar 3-10-2010. Kabla ya mikutano ya Dr slaa itakayofanyika vijijini, atafanya mkutano mkubwa Kyela mjini. Wote wenye mapenzi mema na Tanzania mnapaswa kuja kumsikiliza.