Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Kura kwa Dr JK? Kwa lipi hasa? Au ndio u-simba na yanga wenyewe?
Ewaaaah kwanza nina nia mathubuti juu ya hiyo familia na niko CCM,
Moja ndani ya UVCCM lazima nikafanye mapinduzi ya hali ya juu subiri utaipata habari na nitaanza na RizOne kumweka benchi na fitna ya hali ya juu maana huku nyamagana alichokuja kukileta ndicho kitakacho mgharimu 2015