Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,027
- 1,791
Huyu mwandishi aitwae Majjid Mjengwa huwa hana logical consistence kwenye maandiko yake mengi.Ni mtu mnafiki mwenye kujikomba upande wenye maslahi.Mbona unajichanganya sana unasema Dr Slaa ni mjamaa na mtu makini lakini wewe ulikataa kujiunga Chadema kwa sababu ya itikadi yao sio ya kijamaa so ilikuaje mjamaa makini akawa Katibu Mkuu wa chama kisicho cha kijamaa?