Mulungwani
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 456
- 84
Ndg wana JF baada ya Dr Slaa kutembelea wanachama na wafuasi wa mikoa ya Shinyanga na Kigoma hatimaye Dr Slaa aingia leo Wilaya ya Urambo mkoa wa Tabora na mkutano utafanyika katika viwanja vya Mwananchi squarea mishale ya saa 9 mchana kwa asubuhi Dr yuko kata ya Songambele ilipo ngome ya Samwel Sitta na baada ya mikutano ya mchana kutwa jioni kutakuwa na kikao cha ndani na wanachama wote wa Chadema wilaya ya Urambo
Hivyo karibuni sana!
Hivyo karibuni sana!