Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Habari zenu Watanzania natoa shukrani zangu kwa wale wapenda ukombozi
wanchi hii ambao mlikuwa mkiunga mkono ziara yangu ya kigoma ambayo
ilikuwa na mafanikio makubwa.
Tunamshukuru mungu ingawa tulikutana na vikwazo vidogo ambavyo vilipangwa
na vikundi vya watu wachache ili kukwamisha ziara yangu na sio mapenzi
ya watu wenyewe nikasema ziara inaendelea bira kusimama popote maana
tunataka ukombozi wa Taifa letu, Nimetoka kigoma salama na nipo Tabora
ziara inaendelea tutapeana habari zaidi
Nashukuru sana wakazi wa kigoma mabadiliko lazima mmeweza kunielewa
katika hotuba zangu sasa tunaendelea kukijenga chama naomba msimame imara watu wachache ambao wanataka
kupeleka nchi pabaya kwa maslai yao mkae nao mbali watu kama hao wabaya
sana.
Jumapili Mwanza atakuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mh Freeman Mbowe Pia Morogoro Kutakuwa na Mkutano Mkubwa
Kichangani kuweza kuendeleza harakati za ukombozi na maeneo mbalimbali
Tanzania kutakuwa na mikutano nawatakia mikutano mema,
Tulianza na Mungu Tutamaliza na Mungu.
Source,, ofisi ya Dr. Slaa
wanchi hii ambao mlikuwa mkiunga mkono ziara yangu ya kigoma ambayo
ilikuwa na mafanikio makubwa.
Tunamshukuru mungu ingawa tulikutana na vikwazo vidogo ambavyo vilipangwa
na vikundi vya watu wachache ili kukwamisha ziara yangu na sio mapenzi
ya watu wenyewe nikasema ziara inaendelea bira kusimama popote maana
tunataka ukombozi wa Taifa letu, Nimetoka kigoma salama na nipo Tabora
ziara inaendelea tutapeana habari zaidi
Nashukuru sana wakazi wa kigoma mabadiliko lazima mmeweza kunielewa
katika hotuba zangu sasa tunaendelea kukijenga chama naomba msimame imara watu wachache ambao wanataka
kupeleka nchi pabaya kwa maslai yao mkae nao mbali watu kama hao wabaya
sana.
Jumapili Mwanza atakuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mh Freeman Mbowe Pia Morogoro Kutakuwa na Mkutano Mkubwa
Kichangani kuweza kuendeleza harakati za ukombozi na maeneo mbalimbali
Tanzania kutakuwa na mikutano nawatakia mikutano mema,
Tulianza na Mungu Tutamaliza na Mungu.
Source,, ofisi ya Dr. Slaa
Katibu Mkuu CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameanza ziara rasmi ya kujenga chama mkoani Tabora kwa kishindo kikubwa!
Kiongozi huyo anayetikisa nchi kwa sasa ameanza ziara yake mkoani hapa kwa kulakiwa kwa Shangwe eneo la Kaliua ambapo mamia ya watu walijipanga kando kando ya barabara huku magari na pikipiki vikitumika kuongoza msafara wake.
Baada ya mapokezi Dr Slaa alihutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara uliovunja rekodi ya mikutano yote ya kisiasa kuwahi kufanywa hapa KALIUA.
Dr Slaa ambaye akiwa Kigoma alipachikwa jina la SIMBA WA TANZANIA ameendelea kuzungumzia rasilimali za Taifa na kutaka serikali kuhakikisha wananchi wanafaidi matunda ya nchi yao.