nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
mh.werema sina hata jina moja la mtu aliyeficha mabilioni uswiss..zittoaende zake kwani kaua chama halafu anajikosha tu shauri yake atakoma mwaka huu yeye ndiye katumwa na ccm ndio maana amelipia kadi yake miaka 30. halafu nyie vyanzo vya huyo mzee endelea kula tu ila msidanganye watu