simaye
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 426
- 214
Leo Katibu mkuu wa CHADEMA Dr.Wibrod Slaa anatarajia kuwahutubua wananchi wa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Watu wamejitokeza kwa wingi kwa ajili ya kusikia ujunbe wa kiongozi wa Chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Karibuni nyote hasa wanachama wa CCM kwa ajili ya kusikia hatuba ya kiongozi huyo.
Wale wenye simu za picha naomba mpige na kuzitupia humu ndani ili watanzania waone jinsi watu wa Sumbawanga walivyo na hamasa na mapenzi ya kusikia hotuba ya Katibu mkuu wa CHADEMA
Kila la kheri wadau.
Watu wamejitokeza kwa wingi kwa ajili ya kusikia ujunbe wa kiongozi wa Chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Karibuni nyote hasa wanachama wa CCM kwa ajili ya kusikia hatuba ya kiongozi huyo.
Wale wenye simu za picha naomba mpige na kuzitupia humu ndani ili watanzania waone jinsi watu wa Sumbawanga walivyo na hamasa na mapenzi ya kusikia hotuba ya Katibu mkuu wa CHADEMA
Kila la kheri wadau.