Kwa mujibu wataarifa Aliyeachiwa kurithi mikoba/utaalamu wa sheik yahaya ni mwanaye mkubwa aitwaye Hasan. Kijana huyu kwa mujibu wa zito kabwe kupitia gazeti la mwananchi ni KADA wa muda mrefu wa CHADEMA.Kufuatia urithi huo niimani yetu kuwa ule ulinzi alokuwa akipata JK , sasa utahamia kwa dr slaa. Kwa upendo wa kijana hasan kwa chama chake lazima ahakikishe viongozi wake wanakuwa salama. CDM msihofu tena kiongozi wetu atakuwa salama.