Kumekuwa na mijadala mingi humu, mara Dr. Slaa na Zitto Kabwe nani anaweza kuwa mgombea sahihi wa nafasi ya urais kwa ticketi ya CHADEMA 2015,
Kwa ushauri wangu haya yasitupotezee muda tena, kwani CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wen "presidential material". Hayo yasichukue nafasi tena tukijenge chama tayari kwa kuchukua dola 2015.
CHADEMA ni kusonga mbele daima mpaka kieleweke
Kama kuna mtazamo tofauti unakaribishwa
Kwa ushauri wangu haya yasitupotezee muda tena, kwani CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wen "presidential material". Hayo yasichukue nafasi tena tukijenge chama tayari kwa kuchukua dola 2015.
CHADEMA ni kusonga mbele daima mpaka kieleweke
Kama kuna mtazamo tofauti unakaribishwa