Nimemsikiliza Makonda na Heche mdahalo Ch 10. Makonda katoa hoja ya kuwa mawaziri waliojiuzulu kwa madhila ya operesheni tokomeza wetufundisha
Wanasiasa kujifunza kuwajibika inapotokea matatizo kwenye shughuli tumazozisimia.... Huu ni ukiri mzuri...
Kisha akaendelea kwa kutoa wito kwa Dr. Slaa(Mzee wa Gongo) na Freeman Mbowe(Mzee wa Nyumba ndogo) wawajibike kwa mauaji yaliyofanyika chini ya OP M4C!
Wanasiasa kujifunza kuwajibika inapotokea matatizo kwenye shughuli tumazozisimia.... Huu ni ukiri mzuri...
Kisha akaendelea kwa kutoa wito kwa Dr. Slaa(Mzee wa Gongo) na Freeman Mbowe(Mzee wa Nyumba ndogo) wawajibike kwa mauaji yaliyofanyika chini ya OP M4C!