RUMANYIKA
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 315
- 74
- Thread starter
- #61
Dr slaa anasema amepewa waraka toka kwa polisi wenye kurasa nane ili awasaidie ktk kero zao. Anaendelea kueleza serikali inafanya manunuzi ya mabomu ya machoz pia magari ya maji ya kuwasha wakati wanaish ktk mazingira magumu huko kota.